Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
ask him mother****er.... Osama alikufa kitambo tu ile ilikuwa drama ya Obama msaka kura za wamarekani.
 
Peruzi zangu zimeonyesha kwamba kitendo cha kutangaza kwamba marekani wamemuua osama ni mpango kabambe wa NEW WORLD ORDER ambao unasimamiwa na Free Masons. Obama is among of them kwani mshiriki wake mkuu nu Warren Buffett (No.4 rishest). Kwa mujibu wa the Economist huenda kuuawa kwa Osama kukazidisha machungu zaidi kwa waislamu. Pkistan tayari inahoji uhalali wa Marekani kuingia nchini mwao bila hata hodi. Hii ni dharau.

Pakistan was responsible for hiding Osama. US wanted him. What do you expect?
 
Peruzi zangu zimeonyesha kwamba kitendo cha kutangaza kwamba marekani wamemuua osama ni mpango kabambe wa NEW WORLD ORDER ambao unasimamiwa na Free Masons. Obama is among of them kwani mshiriki wake mkuu nu Warren Buffett (No.4 rishest). Kwa mujibu wa the Economist huenda kuuawa kwa Osama kukazidisha machungu zaidi kwa waislamu. Pkistan tayari inahoji uhalali wa Marekani kuingia nchini mwao bila hata hodi. Hii ni dharau.

acha pumba zako wewe! sometimes kama huna cha kuandika cheza game tu!!
 
Mbona hao hao CIA wanasema alisomea digrii ya Public administration.Halafu unajuwa ni mwaka gani?...1981.Baada ya hapo maisha yake yalikuwa ni ya msituni kupambana na warusi kwa ushawishi wa USA.
Mwaka 1981 alipohitimu Osama.King Abdulaziz university walikuwa bado hawajaanzisha course za kompyuter..Na iwe iwavyo jee pale Abbottabad alikuwa na ofisi kubwa kiasi gani kuhitaji kuunganisha compyuter 4 na network?.Nani walikuwa wakitumia network yake.Flash disk 100 ni za nini?.Nani walikuwa wakitafuta vipuri vya ofisi?.Wale ndugu wawili kama kweli tunaambiwa walikuwa ni shamba boy.

Mkuu Ami nadhani Eqlypz amesema nachotaka kusema nami pia. Ni vigumu kuamini kwamba kwa hadhi yake Osama na kwa background ya ukwasi wa familia yake na wake binafsi ashindwe kufahamu kutumia kompyuta.

Hoja kwamba inasemekana hakua anatumia/anakaa karibu na vifaa hivyo haina maana ati hafahamu hata jinsi ya kukitumia. Yaani ni sawa na kusema kwa kuwa inasemekana hakuwa akitumia simu inamaanisha hafahamu namna ya kutumia/kupiga simu.

Maswali yako mengine ya ni vipi ahitaji kompyuta 4 na flash disk 100 binafsi sina jibu. LABDA ni katika kuficha ile yenye taarifa "muhimu" kwa kuwa na idadi kubwa ya vifaa hivyo.
 
ask him mother****er.... Osama alikufa kitambo tu ile ilikuwa drama ya Obama msaka kura za wamarekani.

Haya lete habari .. alikufa lini? au tuseme aliacha kukugeuza lini? kakutwa na gunia la viagra .. /isije ikawa ulikuwa mtoa huduma
 
Big love: bin Laden’s six wives

The late al Qaeda leader Osama bin Laden had six wives. Three of them were living with him--along with 17 of his children--in the Abottabad, Pakistan, compound where bin Laden was killed by U.S. forces in a raid early this month.
Time Magazine's Tim McGirk runs down the biographies of the six newly widowed bin Laden spouses. . Bin Laden's first wife Najwa Ghamem, who is also his first cousin, comes from Syria and is thought to be living there now.
So who were the women who married the terrorist mastermind? Two of bin Laden's wives come from Saudi Arabia and are well educated--one was a child psychologist, another a teacher of Arabic, McGirk writes. Both are currently in Pakistani custody.

Wife #1: Najwa Ghamen, a Syrian and a first cousin, was 15 when she married bin Laden, scarcely two years older. Back then, bin Laden was a rich and well-connected Saudi youth, and Najwa had every reason to believe she was destined for a cushy life of luxury. Instead, she ended up raising 11 children on the run, struggling to keep her good looks in the scorching deserts of Afghanistan. [...] After 9/11, she fled Afghanistan with a mentally disabled son and is thought to have returned to her native Syria. Still married at the time of bin Laden's death, she is technically his fourth widow, although she is not in custody.[...]

[Ex] Wife #2: His second wife, Khadijah Sharif, was a teacher and nine years older than bin Laden when they were wed in 1983. She reportedly bore him three children before they were divorced sometime between 1993 and 1996 when they were living in Sudan, and bin Laden fell afoul of the Saudi regime.

Wife # 3: His third wife, Khairiah, whom bin Laden wed in 1985, was the "spiritual mother" of the sprawling family, according to a woman who knew the bin Ladens in Afghanistan. [...] This source claims that after 9/11, Khairiah fled through Iran where she was detained under house arrest before the Iranians allowed her to return to Saudi Arabia. From there, she slipped back to Pakistan to rejoin the al-Qaeda chief in Abbottabad. [...]

Wife #4: Shiman Sabar, who was also captured in the Abbottabad house, wed bin Laden in 1987. Militant sources say that after 9/11 she may have slipped across into Pakistan and remained there in hiding until it was safe for her to answer her husband's summons. [...]

Wife #6: His last wife, Amal [al-Sadah, from Yemen], may have been as young as 15 when a $5,000 bride price was paid to her Yemeni family and she was shipped off to marry bin Laden, nearly 30 years her elder, in Kandahar. Wed in 2000, they had one daughter, Safiya, who was allegedly in the bedroom with her father and mother when Seals shot him dead.
See also McGirk's "The Real Housewife of Abbottabad" on what Amal knows.
(Photo of passport photo of bin Laden's fifth wife, Amal, from Yemen, published in a Pakistani newspaper. Rehan Khan /EPA)
 
I wish I could afford wake sita manke huyo mmoja tu mmmmnnnhhh!
 
:bange::bange::israel:Who are they going to marry now? OR they will be like of Marehemu Muham-mad PBUH? :israel::bange::bange:
 
Haya lete habari .. alikufa lini? au tuseme aliacha kukugeuza lini? kakutwa na gunia la viagra .. /isije ikawa ulikuwa mtoa huduma

sielewi huyu great thinker anataka kutuambia nini,inabidi tusubiri aperuzi tena
 
Peruzi zangu zimeonyesha kwamba kitendo cha kutangaza kwamba marekani wamemuua osama ni mpango kabambe wa NEW WORLD ORDER ambao unasimamiwa na Free Masons. Obama is among of them kwani mshiriki wake mkuu nu Warren Buffett (No.4 rishest). Kwa mujibu wa the Economist huenda kuuawa kwa Osama kukazidisha machungu zaidi kwa waislamu. Pkistan tayari inahoji uhalali wa Marekani kuingia nchini mwao bila hata hodi. Hii ni dharau.



Duh!! Hizi assumptions siku nyingine tunaomba walau zi sound logical hata kama tunapigwa changa la macho.... hivi inakua kama tunaopita hapa umetu underestimate saana....
 
Technically it is Bin Laden 3 wives and 2 Ex's.... But i believe the story wouldn't have sold in the media....
 
ingependeza wangetuwekea na picha zao tuwaone lol au ndio wale wamevaa burka 24/7...mnh
 
Exclusive: Pornography found in bin Laden hideout: officials

d0c3eb8ca18907492a4b337b5cec5193.jpeg

By Mark Hosenball and Tabassum Zakaria Mark Hosenball And Tabassum Zakaria – Fri May 13, 12:55 pm ET
WASHINGTON (Reuters) – A stash of pornography was found in the hideout of Osama bin Laden by the U.S. commandos who killed him, current and former U.S. officials said on Friday.

The pornography recovered in bin Laden's compound in Abbottabad, Pakistan, consists of modern, electronically recorded video and is fairly extensive, according to the officials, who discussed the discovery with Reuters on condition of anonymity.

The officials said they were not yet sure precisely where in the compound the pornography was discovered or who had been viewing it. Specifically, the officials said they did not know if bin Laden himself had acquired or viewed the materials.

Reports from Abbottabad have said that bin Laden's compound was cut off from the Internet or other hard-wired communications networks. It is unclear how compound residents would have acquired the pornography.

But a video released by the Obama administration confiscated from the compound showed bin Laden watching pictures of himself on a TV screen, indicating that the compound was equipped with video playback equipment.

Materials carted away from the compound by the U.S. commandos included digital thumb drives, which U.S. officials believe may have been a principal means by which couriers carried electronic messages to and from the late al Qaeda leader.

Three other U.S. officials familiar with evidence gathered during investigations of other Islamic militants said the discovery of pornography is not uncommon in such cases.

(Reporting by Mark Hosenball and Tabassum Zakaria; editing by Warren Strobel)
 
Yeye ni mwanaume kama wanaume wengine so kuwa na hizo PIC sioni kama ni ajabu. hata kama una wake ishirini kuangalia porno si ajabu tusijivunge kwani yeye alisema haangalii hiyo issue?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom