Osama Bin Laden anakula bata Bahamas muda huu

Osama Bin Laden anakula bata Bahamas muda huu

Mwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.

Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.

Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Sadamu Hussein mbona ili kuwa anaanikwa juani??
 
Naomba mtu aliye huru na neutral kabisa aniambie analytically kifo au kutokufa kwa OBL kunalisaidia kundi gani. Yani nani anafaidika nini na kifo cha osama na Nani anafaidika nini kwa kuishi kwake. Analytically jamani
Obama alishinda uchaguzi wa awamu ya pili kwa kifo cha Osama, Bush alichukizwa na kuzikatisha mapema zile harakati za kijasusi. Ova.
 
images (1).jpg
images (1).jpg
 
Mashekh huko Nchi USA walikiri kuuosha mwili wakiwa kwenye Meli kabla ya Maziko.

Huo unaouita Mkataba ndio conspiracy yenyewe. Mi sipendi mauongo...
Mashehe huko USA walikiri kuuosha mwili wa Osama na kuuzika?!!
 

Labda nigusie kidogo the sensitivity of the 3 cases.
Zipo dhana/3 kuhusu hilo.

Sadamu alinyongwa hadharani. Nadhani ukifa hadharani, utaonekana hadharani.

Watawala wa Iraq ambao ni majority Muslims walimchukulia Sadam kama mlaaniwa who deserves to die and go to hell.

Ikumbukwe Hata yeye Sadam hakutaka kupelekwa nchini Iraq ili kuhukumiwa nchini kwake kwakua alijua asingeshinda kesi angekandamizwa. Alitaka kesi yake ihamishiwe mahakama za kimataifa. Lakini sio Iraq wala USA. Utawala wa Iraq uliweka shinikizo ahukimiwe kwao kwakua aliwakosea wao. Na ni raia wao.

Akiwa anapelekwa kunyongwa aliambiwa yeye ni Mlaaniwa.Aliposema Iraq bila mimi haiwezi kuwepo.niliipigania tangu ujana. Nitakufa kama mpiganaji.

So hasingekua na impact yoyote kwa majority Iragismuslims kumtendea watakavyo. So long wanamchukulia kama mlaaniwa.

Mtu mwenye image mbaya anaanzaje kupewa heshima?

Na ikumbukwe dhana nzima ya kutokuonyesha mwili moja wapo inalenga kumsitiri marehemu.

Both Saddam Hussein na Gadafi are equal the same.

Cause hata miili ya wanajeshi ya uSa yaliwahi kuburuzwa kule somalia kipindi fulani. Kwakua wanakuchukulia kama mbwa.

with the exception of Osama bin Laden ambaye yake ilikua case sensitive, kwakua Bwana Jela wake alikua ni USA(Non-Muslim Country).

USA, Israel na kama zilivyo nchi zilizostaarabika Ulaya zina tendecies ya kum withhold mtu kwa ustaarabu wake anaostahili kuupata bila kujali intensity ya madhara aliyoiletea jamii au uzito wa makosa untill justice decides.


Like i said earlier Mashekhe wamekiri hadharani kumfanyia mazishi ya kiislamu Shekh Osama,Bin Laden ndani ya Meli ya kijeshi.

Pia Alqaeda team yake ya Ugaidi duniani wamekiri kiongozi wao Osama kauwawa Na USA. japo wakaahidi kuendelea kupambana na UsA.

Na USA officials wamekiri kuruhusu Osama azikwe kwa kufuata taratibu za imani yake ya kislamu.
 
Sasa nahisi huko Bahamas wanaishi wale waliosadikika kuuawa tu.

Wakati mwingine huwa siwaamini kabisa wamarekani.
Yawezekana sakata la Osama ulikuwa mpango wa Marekani kushambulia mataifa ya kiarabu na kuyazorotesha kiuchumi.
 
Osama mwenyewe si ailikua na uwalaza mkubwa kabisa
 
awepo hasiwepo kibongo haituongezei kitu. Tupambane na hali zetu. America ni mabingwa wa kutengeneza picha wanazotaka wao dunia ijue.
 
Kama vile Saddam Hussein sasa hivi alipokuwa huko Mexico kwenye bunkal,Illuminati wana agenda gani sijui hawa jamaa
 
wazungu kwa umbea kiherehere hawawezi kumuua mtu wakamzika kimya kimya,tumemuona saddam ghaddaf na wengineo,osama kama alikufa labda aliumwa na mbu ila sio wasichana wa kimarekani wenye magwanda ya kijeshi.
 
Kwa hiyo Ghaadaf unataka kusema alioneshwa rasmi,mimi sina maana hiyo bali nnasema kutokana na yale yaliyojir kwa Watu hao,nnatambua Uislamu hauruhusu kuoneshwa live mwil wa marehemu,hoja hapa ni kwamba mbona Ghaadaf na Saddam walioneshwa kwa namna walivyouwawa ilikuwaje? Osama ikishindikana,kifo chake kina utata bado
atakuchosha wazungu hawakuui na kukaa kimya lazima watajitutumua.sikubaliani na tukio la osama lote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom