FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 21,714
- 2,000
Yuko paradiso huko akila maisha na wake zake watano na watoto kibao, analipwa dolla za kimarekani 100,000/= kwa mwezi. Nasikia hata Balali alikimbilia huko; hivi huko Bahamas kuna nini?
======================================
Hii picha ya upande wa kulia ni photoshop ya upande wa kushoto, hii picha ya akiwa amekufa ni photoshop, tumelishwa matango pori

======================================
Hii picha ya upande wa kulia ni photoshop ya upande wa kushoto, hii picha ya akiwa amekufa ni photoshop, tumelishwa matango pori
