TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Hahahahaha mweeeeOsama Bin Laden alishauwawa. Acheni kupoteza Muda conspiracy. He's gone forever..no coming back...
Hahahahaha mweeeeOsama Bin Laden alishauwawa. Acheni kupoteza Muda conspiracy. He's gone forever..no coming back...
How far are you sure, Do you believe in American's fictions ? Deceiptions ? Tell us the Neccessity of burrying Osama under the sea. That was tippically fictions, who wittnessed the dead body? Snowndern might be quite right. God has decided to reveal the trueth.Osama Bin Laden alishauwawa. Acheni kupoteza Muda conspiracy. He's gone forever..no coming back...
Not only American witnessed that..How far are you sure, Do you believe in American's fictions ? Deceiptions ? Tell us the Neccessity of burrying Osama under the sea. That was tippically fictions, who wittnessed the dead body? Snowndern might be quite right. God has decided to reveal the trueth.
DefinitelyMashehe huko USA walikiri kuuosha mwili wa Osama na kuuzika?!!
DefinitelyMashehe huko USA walikiri kuuosha mwili wa Osama na kuuzika?!!
Yuko paradiso huko akila maisha na wake zake watano na watoto kibao, analipwa dolla za kimarekani 100,000/= kwa mwezi. Nasikia hata Balali alikimbilia huko; hivi huko Bahamas kuna nini?
View attachment 642890
Kwani Saddam wa Iraq aliponyongwa live alikua sio muislam?Mwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Hata Jamhuri ya watu wa Iran ni nchi ya Kiislamu lakini wanayo kawaida ya kunyonga Live.Kwani Saddam wa Iraq aliponyongwa live alikua sio muislam?
Uliona mwili wakeWewe unauhakika gani kama aliuawa...
world is full of conspiracies
Uliona mwili wake
haya yupo na Obama wanakula bata Nahau Bahama
kwanini Trump asimfuate naye akale bata
kweli akili za kitoto changanya na zako
Terorism mindNi mungu pekee ndio anaweza kumuua lakini sio marekani