kamikaze tz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 232
- 174
Dah
Daah nini wewe.., ushasalitiwa..
Nadhani Daudi balali anaweza kutupa uzoefu kidogo.., ila nadhani ni nchi inayojihusisha zaidi na financial sector, kufua, kutakatisha na kuanika pesa zilizooza (Laundry & dry cleaning)Kwani Bahama kisiwa kinamilikiwa na nchi gani na kuna utaratibu gani wa kuingia?
Mwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.Wewe una uhakika gani? kama aliuwawa na nani? alishuhudia maiti yake kama siyo propaganda za Marekani;maana Nchi za magharibi na kiongozi wao Marekani kwa propaganda ni vinara Duniani
Sasa kama kuhiji ni rahisi hivyo, ni kwanini tuliovyowaambia hijja iwe ya mzunguko kama kombe la dunia mkapanic?Mwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Kwaiyo kuna uongozi kabisa ulichaguliwa na wananchi? Ebu ngoja kwanza ni google mkuu nikasome maana naweza kuzamia uko.Nadhani Daudi balali anaweza kutupa uzoefu kidogo.., ila nadhani ni nchi inayojihusisha zaidi na financial sector, kufua, kutakatisha na kuanika pesa zilizooza (Laundry & dry cleaning)
Kwa hiyo wengine wanaouwawa na kuoneshwa siyo Waislam mkuu?,kwa mfano Saddam na GhaadafMwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Kwa hiyo wengine wanaokufa na kuoneshwa siyo Waislam mkuu?,kwa mfano Saddam na GhaadafMwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Uandishi wako umejaa sarcasm tupu tupu mkuu hebu kabla hujaandika tafakari kwanza eti hikka unadhani uislam una ujinga kias hicho cha kufanya ibada kijinga mkuu km akili yko inavodhani???Mwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
hoja dhaifu sana hiziMwili wa muislamu hauruhusiwi kuonyeshwa hadharani pindi anapofariki. uSA walifanya hivyo kuepusha sparks za vurugu katika ulimwengu wa kiislamu duniani, ambapo wange react kama wangehisi Mwili wa Osama aliekufa kama mwislamu Unaonyeshsa hadharani.
Kaburi lake lilibaki kua baharini kwasababu inaruhusiwa kwa mujibu wa imani ya kiislamu. Ilichaguliwa hivyo ilk kuepusha makundi ya fanatics kuweza kufikia kaburi ake na kuhiji hapo. Ambapo ingechochea harakati zaidi. uSA wana akili sana. Wamecheza na psychology ya magaidi wakawapiga gepu moja mbele.
Last but not least, Timu yake ya Magaidi wa Alqaeda ilikiri kua ni kweli Osama aliuwawa.
Zingatia kuonyeshwa rasmi na kuonekana umejifia ni vitu viwili tofauti.Kwa hiyo wengine wanaokufa na kuoneshwa siyo Waislam mkuu?,kwa mfano Saddam na Ghaadaf
Sijasema uislamu nimesema Fanatics kuhiji hapo. Hayo.mengine naona unajiongeza wewe mwenyewe...Uandishi wako umejaa sarcasm tupu tupu mkuu hebu kabla hujaandika tafakari kwanza eti hikka unadhani uislam una ujinga kias hicho cha kufanya ibada kijinga mkuu km akili yko inavodhani???