Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
- Thread starter
- #21
Hata mi nimehisi ni yeye.
Hahaha Remmy yangu kama mshikio wa ndoo haha
Hata mi nimehisi ni yeye.
Du, pole sana, mtoto guu guu andika umeumia, napata picha na reception iko mwake. Tafuta mwingine tu dia.
Mpaka aseme ni yeye jamani?anakuja taratibu huyo na siku ikifika Mwaaaaaa!!!!!!!!Hata mi nimehisi ni yeye.
Pole dada yangu, labda na wewe uwe na usafiri kama huo vinginevyo maumivu
na kikuku cha mlengo mwingine mlengo wa kushoto!
Jumatatu imewadia nawatakia mwanzo wa wiki mzuri na mafanikio mema wknd yangu nilienda mtembelea my bf.
Hii ndo niliokutana nayo si vibaya kushare na wana JF
Jumatatu imewadia nawatakia mwanzo wa wiki mzuri na mafanikio mema wknd yangu nilienda mtembelea my bf.
Hii ndo niliokutana nayo si vibaya kushare na wana JF
Mmmhhh, mpaka ufike mahali penyewe lazima uende km nyingi sana na upite mabonde na milima.
mariaroza kumbe nawe mtundu
Thicky thickum
MR naomba appointment twende zetu Kigamboni tukale raha weekend hii pls
Maria Roza mpenzi wangu ulipotlea wapi wajamani?