Orodha ya watumishi waliohakikiwa

Orodha ya watumishi waliohakikiwa

Huu uhakiki umeleta Shida nyingine hasa Mwanza, watu wengi wamehakikiwa ila majina yao hayaonekani pande zote, imelazimu kuanzia ijumaa kupeleka vyeti Jiji na kwenye ma Wilaya, watumishi wengi hawajawekwa kwenye ile orodha ya watu waliohakikiwa tuseme ni uzembe wa wachapaji au ??
 

Attachments

Huu uhakiki umeleta Shida nyingine hasa Mwanza, watu wengi wamehakikiwa ila majina yao hayaonekani pande zote, imelazimu kuanzia ijumaa kupeleka vyeti Jiji na kwenye ma Wilaya, watumishi wengi hawajawekwa kwenye ile
orodha ya watu waliohakikiwa
tuseme ni uzembe wa wachapaji au ??

Orodha zilizowekwa ni orodha ya watuimshi wenye vyeti feki, watumishi wenye vyeti vyenye utata na Watumishi waliowasilisha vyeti pungufu yaani incomplete sasa unataka orodha ipi? Ukiona haupo kote maana yake utakua clean na clean list haiwekwi.
 
Orodha zilizowekwa ni orodha ya watuimshi wenye vyeti feki, watumishi wenye vyeti vyenye utata na Watumishi waliowasilisha vyeti pungufu yaani incomplete sasa unataka orodha ipi? Ukiona haupo kote maana yake utakua clean na clean list haiwekwi.

Kuna orodha imetolewa ya watu waliohakikiwa kila mkoa , ila cha ajabu kunawatu walihakikikiwa lakini majina yao hayamo na hawako upande wowote ( kwa kifupi wametoa majina yote waliyohakiki)
 
mbona ipo ya mwanza tuu wekeni hadharani bwana kuna wengine tuna wajua kwa majina
 
Majina ya wenye vyeti feki central government wapi wakuu
 
Nimepata orodha ya watumishi waliohakikiwa kwa mkoa wa Pwani pekee, orodha kama hii ya mikoa mingine zinapatikana wapi?
Mwenyezi ufahamu juu ya suala hili naomba kufahamishwa pia au aliyenazo naomba aweke hapa Specifically ya Mkoa wa Kagera na Kilimanjaro.
Msipende kuishi kwa matukio.
Hiyo ni orodha ambayo summary yake ndiyo aliyokabidhiwa Magufuli siku ile na bibie Angel Kairuki. Hakuna kipya humo.
 
Back
Top Bottom