Unataka kuanya research?Nimepata orodha ya watumishi waliohakikiwa kwa mkoa wa Pwani pekee, orodha kama hii ya mikoa mingine zinapatikana wapi?
Mwenyezi ufahamu juu ya suala hili naomba kufahamishwa pia au aliyenazo naomba aweke hapa Specifically ya Mkoa wa Kagera na Kilimanjaro.
Siyo kila mwajiriwa wa Kilimanjaro ni Mchaga, na si kila mwajiriwa wa Kagera ni Mhaya!Najua unawatafuta ubaya wachaga na wahaya..
Ukipata ya Mara nistueMe nnayo ya mwanza natafta ya Mara
Hayo mambo ya pm ya niniNi pm whatsapp number yako nikutumie
Natafuta ya Kilimanjaro
Mkoa wa Ruvuma please!