Pamoja na yote, wanahitaji kurudi kambini kujifua upya, wamechosha na kwa kuwa TBC hawakua na muanglizi wakatumia umaarufu na kwa kweli wamekwisha. Sasa kama wanataka kurudi wajifue upya wasilete huu mchezo wa kipumbavu, kuhusu comedy kwa ujumla nakubali kwamba wale wa ITV waliojidai kutaka kutoka zaidi ya hawa hawakuweza kutoka kabisa, ni uchafu kama ule wa zembwela actually huwezi hata kuangalia, hivyo kwa hilo wameshinda maana kweli imeonyesha pesa si talanta. lakini lazima wasome sana na wajifunze kila siku maana pia program ya weeklky ni mzigo kama huna kifua