jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Hupati mtu hata ukimtumia mganga wa bashite.Kufikiri kwako ndio kuliko ishia hapo mkuu atakwenye safar ya mafanikio watu kama wewe wapo kwa hiyo sto shangaa na akili zako atakwenye familia yako wanatabu sana inaonyesha wazi wewe ndio kikwazo kwa ndugu zako wasiendelee hvyoo sito kushangaa ningekuwa biashara nimeanzia humu hapo sawa ila sikuanzia hapaa kwa hiyo uweez kunikatisha tamaa kwa maneno yako never ever kabsa wewe ongea mdomo mali yako bwabwaja unavyoweza ndio kipaji chako hcho ulichopewa na Mungu na hzo ndizo akili zako
Maduka ya simu yalivyojaa eti mtu atoe oder!!!!!!