Mteja kakuambia mkaandikishane kituo cha polisi.Kama kuandikishana polisi kabsa central sio uje na polisi usema huyu hapa tuandikishane hapoo sitoweza kama ni polis kabsa hakuna shidaah
Wewe eti muandikishane nyumban unijie tu napolisi alafu uje ugeuke mbele uko kuandikishana kituo chapolisi kabsa na kila mtu anabak na kop ya maandishi yake lakn nyumban hapanaMteja kakuambia mkaandikishane kituo cha polisi.
Ok pia shida ni nini kama mkiandikishana na polisi hata nyumbani kama hela anakua kakupa?? Unahofia nini??
Wewe eti muandikishane nyumban unijie tu napolisi alafu uje ugeuke mbele uko kuandikishana kituo chapolisi kabsa na kila mtu anabak na kop ya maandishi yake lakn nyumban hapana
Wewe umesema tukaandikishane kituo chapolisi kaka kwan kuna tatizo iliupate uhakika na uwee na aman sasa uje na polisi nyumban kwangu tuandikishane inakuaje sasa hapo tunaandikishana polisi pale kila mtu napili lazma barua ya serikali za mitaa ambayo itaambatanisha nyumba namba ili iwee raisi hata wewe kunifata na polisi kama nikikudhulumu uwez kwenda mkaandikishana polis bila barua ya serikali za mitaa kajahivi inakuaje mtu n akili zako bila limbwata unaamua kutuma hela kwa usiemjua,hana ofisi......out of blue anasema ni advance...huo ni ukoromije....sorry kama nimekuoffend
mkuu fungua ofisi tabu zote zitakwisha otherwise mimi ntakua nakuona kanjanjaWewe umesema tukaandikishane kituo chapolisi kaka kwan kuna tatizo iliupate uhakika na uwee na aman sasa uje na polisi nyumban kwangu tuandikishane inakuaje sasa hapo tunaandikishana polisi pale kila mtu napili lazma barua ya serikali za mitaa ambayo itaambatanisha nyumba namba ili iwee raisi hata wewe kunifata na polisi kama nikikudhulumu uwez kwenda mkaandikishana polis bila barua ya serikali za mitaa kaja
Sifa ya tapeli ni kuwa hakubali upafahamu kwake.mkuu fungua ofisi tabu zote zitakwisha otherwise mimi ntakua nakuona kanjanja
Advance naiacha kituo cha police na maandishi sim ikifika tunamaliziana hapo hapo kituon.

Ngoja tusubiri jibu
Bora umsaidie ili ajue kwanini anashambuliwaNimefuatilia uzi wako
Naona una mapungufu fulani yanayokufanya uonekane kama tapeli japo yawezekana ukawa sio tapeli
labda nikukumbushe tu kwakuwa wewe ni mgeni humu jf hapo nyuma kulikuwa na mtu alikuja na staili kama yako alikuwa anaitwa kevin isaya yeye alikuwa anachukua 10%ya hela yote then mzigo ukija unammalizia unachukua mzigo wako na alikuwa na ofisi dar na watu wachache wa kwanza walipata mizigo yao akajijengea uaminifu baada ya hapo walioorder raundi ya pili wote walipigwa na ofisi walikuta imefungwa
Ushauri wangu jaribu kutafuta mtaji ununue na kuleta mzigo kwa hela yako pia kama unashindwa jaribu kuweka dhamana ambapo mteja atakuwa na uhakika wa pesa yake kama hatatapeliwa
Usione watu wanalalamika sana wengi wamelizwa humu ndani