Weweee sikiliza nikuambie ndugu,,,biashara fanya kwa manufaaa na uweledi uliotukuka,,,unataka advance ili nn?ili upate uhakika au ili kuongezea mtaji wako?kama kupata uhakika huku sio vilaza sana kama inst na fb wanakuagiza halaf wanatokomea hii ni jf japo kuna wasanii ila sio kwa kiwango kikubwa kama kwenye hyo mitandao mingine,,
Mwanaume na mfanya biashara kwel huangalia mbali sio kuangalia mbele,,,unatafuta oda yako kwa uhakika,,kwa watu wa uhakika,then unashusha mzigo,,unawapelekea mmoja baada ya mwngine unachukua mpunga wako unasepa,,hao hao unaowauzia ndo watakutangazia soko zaid hapa hapa ubaoni.... We hunijui sikujui nikupe advnc khaaa naanzaje yaan? Namba zako zenyewe mpya hizi za siku hizi siku hizi aiseee... Fanya biashara serious sio kiutan utan kwenye hela??