Mrs S
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 286
- 90
- Thread starter
- #41
Ni haki useme hvyo boss ili uhaminifu nikitu kizur siku zote kwenye maisha na mm sijaanzia kwenye simu kufanya biashara za hv kiongozi na uwa namdhamn sana alieniam nakunipa dhamana ya pesa yake uwez jua ameitoa wapNapata mashaka na majibu yake sijui kama kwel kuna biashara hapa au Kelvin Isaya kaja kivingine yaani mtu ukiumwa na nyoka ata jani likikugusa tu lazima ustuke