Oppo simu Bhana!

Oppo simu Bhana!

Naona bado unaangaika tyu nimekwambia tafuta simu nzuri ukae kwa kutulia... ununue xiaomi note 9 uiroot,upatch magisk modules,uinstall Gcam uweke na Eu rom halafu iwe kali kuizidi xiaomi note 10 pro izo akili umezitoa wapi?
Samahani mkuu sikujua.

Huwa sibishani na watu wenye majina yenye ukakasi kama "Cha asubuhi" alafu wanaandika maneno kama "tyu" badala ya tu. Kingine sina hiyo Note 9 wala sikuwahi
 
Ulitaka ziwe ngapi ndio iwe simu nzuri
Angalia hapo mkuu
SmartSelect_20211108-164516_Chrome.jpg
 
Tatizo mnaishi kwa kukalili ukitaka simu yenye camera nzuri nunua simu nzuri gcam itakudanganya ww na simu yako bado kuna point itafika utabadilisha ports za madeveloper wote na bado utafail.. pixels zenyewe ni nzuri ila akikutana na miamba anakaa kwa kutulia sababu camera sio software tyu kumbuka hilo
Camera bila software hakuna kitu...ndiomana kuna device zina same camera sensor na other stuffs lakin software inawaangusha.....

Hebu niambie hyo simu gani yenye camera kali kiasi kwamba hata developer wasi port hiyo APK ..kwanini devs waangaike na gcam tu?

Nakupa tips...one plus kweny android 11 wakaanza ifungia gcam kweny camera api kuzuia developers wasi port gcam to the maximum kweny OnePlus devices, guess wat kilitokea ? Official One plus forums ilipigwa spana na wateja kwa kitendo cha kuweka limitations za Google camera... Alafu ww unasema gcam kitu gani?

Hivi niambie kuna simu gani ilikua inapiga portrait kwa jicho moja ukiacha pixel na ports zake za gcam? Leo hii una camera moja isiyo piga portrait lakin gcam inatoa portrait moja Kali..bado unataka kusema camera algorithm si kitu?

Na hapo sjamalza.. wala usiongee kitu kuhusu google camera... otherwise unitajie camera port kali kuzid gcam kama ipo hapa duniani.



Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Samahani mkuu sikujua.

Huwa sibishani na watu wenye majina yenye ukakasi kama "Cha asubuhi" alafu wanaandika maneno kama "tyu" badala ya tu. Kingine sina hiyo Note 9 wala sikuwahi
(Tyu,cha asubuhi) hapa point ni nini? Mie sibishani ila nakuambia uhalisia ulivyo.. hio xiaomi note 9 nimeitumia kama mfano tu mkuu basi tuishie hapa.
 
Hongera sana.
mi Tecno yangu imenibamba sana. Inakaa sana na chaji

inanipa wala 150,000 kwa mwezi kwa kazi za online..
Kikubwa mawasiliano na vile mwenyewe unataka,kama unaona mambo yako yanaenda vizuri basi tosha,maisha ni vile unavyopanga mwenyewe
 
Camera bila software hakuna kitu...ndiomana kuna device zina same camera sensor na other stuffs lakin software inawaangusha.....

Hebu niambie hyo simu gani yenye camera kali kiasi kwamba hata developer wasi port hiyo APK ..kwanini devs waangaike na gcam tu?

Nakupa tips...one plus kweny android 11 wakaanza ifungia gcam kweny camera api kuzuia developers wasi port gcam to the maximum kweny OnePlus devices, guess wat kilitokea ? Official One plus forums ilipigwa spana na wateja kwa kitendo cha kuweka limitations za Google camera... Alafu ww unasema gcam kitu gani?

Hivi niambie kuna simu gani ilikua inapiga portrait kwa jicho moja ukiacha pixel na ports zake za gcam? Leo hii una camera moja isiyo piga portrait lakin gcam inatoa portrait moja Kali..bado unataka kusema camera algorithm si kitu?

Na hapo sjamalza.. wala usiongee kitu kuhusu google camera... otherwise unitajie camera port kali kuzid gcam kama ipo hapa duniani.



Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Tukiwa tunajadili usiwaweke hawa wachina wa hovyo leo wanatumia oxygenOs kesho colorOs tuongelee Ui zilizoshiba kama OneUi na Emui. Kwangu mimi pixels hasa 5 kushuka zinapiga picha nzuri kwa upande wake videos ni uchafu labda hiii 6pro wamejitahid Samsung kwangu wanatoa picha nzuri kuliko simu zote duniani na upande wa video nampa Tunda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom