Oppo simu Bhana!

Nilijua tu lazima ukimbilie uko
rejea maelezo yangu pale juu unaangaika na mods za Gcam za nn.. kama sim sio kimeo? Magisk modules
mwanzo nilikua na akili kama zako ila nilipokuja kupata cm nzuri nikajua ule ulikua ni ujinga wa kuangaika na substratum themes,Gcam,magisk modules,custom kernel/roms sijui GSIroms nk kote uku kulikua ni kuifanya simu yangu ionekane ya kiutofauti ila baada ya kuvuta flagship nishaacha kushinda Github na Xda nakula maisha
 
I bet huna uhakika na hili ulilosema boss! Ninatumia Redmi Note 9, huwezi kuilinganisha na Tecno, trust me!
Sio kuilinganisha inazidiwa kabisa na tecno camon 18 pro
Kwanza global Miui rom inabugs nying tu moja wapo ni kujipunguza sauti yenyewe
 
Sasa kumbe unalinganisha flagship na simu za laki 4. Wewe ulitaka simu ya laki nne iizidi ya mamilioni?
 
Wew ndo unaita ujinga....ingekua mods za gcam sio deal basi kasome uzi wangu wa gcam uone feedback,alafu unachekesha mzee,gcam unasema ya nini? uliskia kuna stock app gani imekua ported kam google camera? kuna mods huwez ishi bila kua nazo..achana na mambo ya substrum themes.

Na aliekwambia ukiwa na flagship ndio umemalza kila kitu nani? Dev support iko pale pale...hakuna flagship iliyokamilika kiasi cha kusema hakuna haja ya mods na ports za devs...

Hata s21 inakula ports za gcam...sjui unataka kusema nini hapa.. Android sio Apple

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
GCam haikwepeki haijalishi una kampuni gani inayotumia Android
 
Sasa kumbe unalinganisha flagship na simu za laki 4. Wewe ulitaka simu ya laki nne iizidi ya mamilioni?
Naona bado unaangaika tyu nimekwambia tafuta simu nzuri ukae kwa kutulia... ununue xiaomi note 9 uiroot,upatch magisk modules,uinstall Gcam uweke na Eu rom halafu iwe kali kuizidi xiaomi note 10 pro izo akili umezitoa wapi?
 
Tatizo mnaishi kwa kukalili ukitaka simu yenye camera nzuri nunua simu nzuri gcam itakudanganya ww na simu yako bado kuna point itafika utabadilisha ports za madeveloper wote na bado utafail.. pixels zenyewe ni nzuri ila akikutana na miamba anakaa kwa kutulia
sababu camera sio software tyu kumbuka hilo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…