Vipi kuhusu oppo idHapana wapo washkaji wengi tu,,,achana na mafundi wa ushwahilini
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ko unatushauri tutupeNunua simu zote lakini TECNO sio simu.
mwaka wa tatu huu natumia tecno mkuu haina kwikwi changamoto ndogo tu ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara bila taarifa.Nunua simu zote lakini TECNO sio simu.
Mkuu oppo toleo lipi?Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.
Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.
Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Nilitaka ni root simu tuUlitumia King Root kwa malengo Gani Kuroot simu Au Ku unlock simu !!? Na kama ni Ku Root au Ku unlock je ulikuw na ujuzi wowote kupitia hiyo king Root!!!? Au uliishia ile sehemu wanakwambia ulipie dola kadhaa
Nunua simu zote lakini TECNO sio simu.
Subiri siku ukikuta imefanya muamala imetuma hela yako yote ndio utaelewa.mwaka wa tatu huu natumia tecno mkuu haina kwikwi changamoto ndogo tu ni kujizima na kujiwasha mara kwa Mara bila taarifa.
Tumieni tu ila wakiitwa wenye simu msijitokeze.Ko unatushauri tutupe
Tecno ni yakutumia ukiwa umefilisika..na bei isizidi laki mbili.Nunua simu zote lakini TECNO sio simu.
Sijafuatilia lakini nilikua interested zaidi na speed, storage na battery kutokana na Kazi zanguScreen size?
Mbona techno ni nzuri tu? Sijawahi kupata shida na Techno, niliwahi kutumia Techno Boom J8 ilikua nzuri sana kwa nyakati zile na nilikaa nayo hadi ilipokuja kuibwa
Ukiwa na pesa za kutosha na ukawa mjanja basi huwezi kutumia tecno.Mbona techno ni nzuri tu? Sijawahi kupata shida na Techno, niliwahi kutumia Techno Boom J8 ilikua nzuri sana kwa nyakati zile na nilikaa nayo hadi ilipokuja kuibwa
Kwani android inazidiwa na iPhone
Hapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukanaUkiwa na pesa za kutosha na ukawa mjanja basi huwezi kutumia tecno.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaHapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukana
Hayo Maelezo yanatosha?Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.
Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.
Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
ivi Ni kweli infinix zinatengenezwa kwajili ya Africa Tu sio international. ? Naomba anaefahamu aniambie ukweli huuHapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukana