Oppo simu Bhana!

Oppo simu Bhana!

Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho

Simu za OPPO Ni Unyama Sana.

Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.

Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.

Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Mkuu oppo toleo lipi?
 
Ulitumia King Root kwa malengo Gani Kuroot simu Au Ku unlock simu !!? Na kama ni Ku Root au Ku unlock je ulikuw na ujuzi wowote kupitia hiyo king Root!!!? Au uliishia ile sehemu wanakwambia ulipie dola kadhaa
Nilitaka ni root simu tu
 
Nunua simu zote lakini TECNO sio simu.
Screenshot_20211107-124712.png
 
Ukiwa na pesa za kutosha na ukawa mjanja basi huwezi kutumia tecno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukana
 
Hapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukana
Hahaha
 
Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho

Simu za OPPO Ni Unyama Sana.

Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.

Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.

Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Hayo Maelezo yanatosha?
 
Hapo neno mjanja umeniweza ,nilitaka kukugomea kuwa wapo wengi wanamiliki pesa lakini simu zao ni tecno na infinix.mfano hapa mtaani nawajua kama watatu ni walimu wastaafu ndani ya miezi kama 3 tu lakini simu zao ni infinix mmoja anamiliki Samsung A03. Unapowaambia kuwa hawana simu wanaona kama umewatukana
ivi Ni kweli infinix zinatengenezwa kwajili ya Africa Tu sio international. ? Naomba anaefahamu aniambie ukweli huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom