Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,723
Mkuu mimi ni fundi mwenzio naomba usitaje Tools tunazotumia maana kamata kamata iliyopita jamaa walinichukulia Box zaidi ya saba na Desktop yanguUnaitumia tena bila Shida,tool easy jtag,njia isp pinout,,,nishakutana na oppo kadhaa,,,ni kweli sio nyepesi sana,,,lakin sio zakushindikana ,,,nyingi za katikati hapo zinatoka kwa testing point...uchawi ni knowledge na tools basi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Aisee kumbe jamaa walikufanya vbaya? Pole sana mkuu...wacha tukae kimya sasaMkuu mimi ni fundi mwenzio naomba usitaje Tools tunazotumia maana kamata kamata iliyopita jamaa walinichukulia Box zaidi ya saba na Desktop yangu
Ukitaja wanaweza kupita tena wakaanza kuulizia tools tunazotumia
Muhimu wajue tu kwamba hakuna simu inayoshindikana ila wasijue vitendea kazi vinavuohusika
Sorry man. Unaongea na mzoefu si mtu wa juzi juzi. Some of them si rahis lakin zina flashika vizuri tu
Yaani mkuu we acha tu mpaka leo nikifuatilia naambiwa bado vinafanyiwa uchunguzi nimeamua kuwaachia tu nimeanza upyaAisee kumbe jamaa walikufanya vbaya? Pole sana mkuu...wacha tukae kimya sasa
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Acha uongo leta nikuoneshe nitaxhoifanya na hivi nimeanza jifunza ata mwaka sijamaliza ila ishakua unyadeeWe jidanganye Tu babu ukiiwasha Tu unaonekana Hadi point uliosimama.
Mkuu tatizo huyu kijana bado hajawahi amini kua wabongo pia ni kwikwi kuna vichwa viko njema.Watu wanatekenya hadi Reno ambayo ndo High end ya Oppo mkuu sembuse A9
Na ngoja tuanzie apa atuambie kwa ushahidi sio kusema kwa porojo
Oppo ni simu inayojielewa, nakumbuka 4 years ago nili introduce topic humu kuhusu Oppo phones zilikuwa hazijulikani kabisa walau sahizi watu wameshazifahamu!
Wabongo kwa Modification nimewavulia kofia.Mkuu tatizo huyu kijana bado hajawahi amini kua wabongo pia ni kwikwi kuna vichwa viko njema.
Ndiyo umeanza kumiliki au kuzijua smartphone bila shaka. Km sivyo usingethubutu kusema ikiibiwa inatupwa tu.Unafiki tuweke pembeni kunja USO kunjua roho
Simu za OPPO Ni Unyama Sana.
Nmemiliki simu ya oppo Kwa mara ya Kwanza Naona inavitu vzuri cha Kwanza ni uwezo wake wa kiusalama MTU akiiba hawezi kuitumia ni kuitupa Tu.
Bola kusahau mfumo mzima WA simu ilivyoundwa.
Nakushauri kama unatafuta simu nunua OPPO.
Wadau kama mnamaoni tutililike chini.
Tecno Ni kifaa cha mawasiliano siyo simu.Nunua simu zote lakini TECNO sio simu.
wewe ndiyo umetoka kulala. Unachekesha! Unaishi kijiji gani mkuuWe jidanganye Tu babu ukiiwasha Tu unaonekana Hadi point uliosimama.
Acha bla bla ongea fact oppo Ni simu Kali Sana Kwa SASA kama INA tekenyeka IMEI number it's ok Ila Kwa mbinde au vipi?wewe ndiyo umetoka kulala. Unachekesha! Unaishi kijiji gani mkuu
Wew ndio itakua umeanza juzi kumiliki smartphone nduguNdiyo umeanza kumiliki au kuzijua smartphone bila shaka. Km sivyo usingethubutu kusema ikiibiwa inatupwa tu.
iPhone hazitupwi ni hilo kopo. Acha ushamba.
Ebu itafute oppo Kwanza afu uje hapa inaonekana tangu uzijue simu ujamiliki simu tofauti tofauti.Ndiyo umeanza kumiliki au kuzijua smartphone bila shaka. Km sivyo usingethubutu kusema ikiibiwa inatupwa tu.
iPhone hazitupwi ni hilo kopo. Acha ushamba.
Kweli aisee izi simu kwenye chaji MTU huna hofu kabisa.Naunga mkono hoja , hata mm natumia Oppo a9 kiukwel cm za Oppo zipo vzr ukitoa iphone nafikir wao ndio wanafuata alafu kingne kweny upande wa charge wako vzr mno