Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,118
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na mkakati wake mpya wa kudai haki kwa njia ya amani kwa kushinikiza uwepo wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , vikao vya ndani vishaanza kurindima huku na kule ambapo sasa vimetinga Mkoa wa Kilimanjaro , huku mashambulizi hayo yakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Zanzibar Mh Salum Mwalimu.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki Chadema