Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Mpaka muda huu sidhani kama kuna ambaye hajajua kinachoendelea huko Mashariki ya kati between Israel and Palestine.

Kwa upande wa Palestine, mapema leo asubuhi wameanzisha peration maalum ijulikanayo kama 'operation Al aqsa' inayojumisha makundi ya wanamgambo wa Hamas na Hesbola yenye lengo la kukomboa maeneo ya Palestina ambayo yanakaliwa kimabavu na Israel, like ukanda wa Gaza.

Katika kujibu mashambulio hayo mabaya zaidi kutokea Israel tangu miongo kadhaa iliyopita, waziri mkuu wa Israel ametangaza rasmi ya kuwa nchi yao ipo vitani na 'operation Iron sword' tayari imesha anza.

Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti waisraeli 100 wameshauwawa na wanajeshi w 57 wametekwa, wakati kwa upande wa wapestina, watu wapatao 120 wameuwawa. Inasemekana jumla ya majeruhi imefikia elfu 1000 so far.

Je, ni operesheni ipi itaibuka kidedea?? maana hali inazidi kuwa mbaya kila dakika inapokata.
Unafahamu nini kinachopiganiwa hapo? Hicho ndio cha kwanza kufahamu kabla ya kuingia kwenye upupj wako
 
Unadhani Palestina ana ubavu wa kukabikiana na Israel? Sidhani. Lakini kama janga la jana limefanikiwa, nyuma ujue kuna kitu.
Ukraine ina uwezo wa kuikabiri Russia? Wamekanusha lakini mwisho wa siku ni wazi nani anapigana na Mrusi. Sasa, hawa jamaa wana support kubwa tofauti na unavyofikikia wewe.
Sawa,hata wasiposhinda hiyo vita,lakini Israel imeshaumia tena sana. Mpaka wakae sawa kama awali,si kesho wala keshokutwa. Nanhapa utaona,ngazi za uongozi zinaenda kukipata cha moto hasa jeshini
Kimsingi Hamas ama Palestina hawana ubavu wa kuichakaza Israel.

Inawezekana Hizbollah au mataifa hasimu na Israel washachimba mahandaki ya kutosha kuizingira Israel na wamemtuma mtoto mtukutu Hamas akalianzishe ili waweze kuingia vitani nao.

Lazima kuna big cat nyuma ya sturbon rat
 
Ninachokiona ni roho zisizo na hatia zinazopotea kutoka pande zote mbili, sad...
 
Hahahaa!Una ujinga mwingi kichwani wewe.Ibrahim ndiye aliyepewa eneo lote toka mto Nile hadi mto Eupharat ili kuwa urithi kwa vizazi vyake.Ibrahim alipata watoto wawili mwanzo Ishmael na Isaka na baadae alioa mke mwingine aliyeitwa Getula na alimzalia mtoto pia.
Sasa ni ujinga kuamini kwamba ni watoto tu wa mjukuu mmoja Yakobo ndiyo wakabidhiwe eneo lote peke yao.
Ishmael ni mtoto wa house girl, na sio mtoto wa kurithi, Mungu alimwambia Ibrahim kuwa urithi wake utaenda kwa Isaka. sio hao watoto haramu.
 
Na Wapalestini nao wanasema Msikiti wa Al Aqsa wa Jerusalem una historia na dini yao.
pale walivunja jengo alilojenga suleiman, wakajenga msikiti. na msikiti ule unatakiwa kuvunjwa ili wayahudi wajenge hekalu lao lile lile. hadi ramani imeshatengenenzwa na kwasababu hamas wamesababisha justification, wayahudi sasa watafanya chochote bila upinzani wa dunia.
 
Ona ili jinga, hiv uvamie ardhi ya mtu alafu ukidaiwa ushahidi useme ni Mungu alikupa? Mna akili nyie? Hao wayahudi hawakuwai kuwepo hapo hata maandiko wakitumia hayathibitishi israel ya biblia ndio iyo ardhi ya palestina.

Sometime mambo ya kihistoria yanapojadiriwa muwe mnaweka mahaba yenu ya kidini pembeni
kinachokwambia hawakuwai kuwepo hapo ni nini? wakati hadi leo pale israel kuna makaburi ya mfalme wa israel Daudi, Bethelehem ndiko Yesu alizaliwa na hadi kesho wakati wa christmass wapalestina huwa wanachuma pesa ya watalii wa kikristo?
 
Kwahyo wa palestine hawana mungu au mungu wao ni tofauti na waisrael walokole leo mnahaha
wapalestina wanaabudu baali, na wamekuwa katiak vita na israel tangu enzi za Daudi na Goliath, hili wala sio jambo geni.
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
acha upuuzr, mkristo gani ana maoni ya kuilaani israel? Bora ungesema huna dini. Unaona kabisa magaidi wameichokoza israel we unaleta zako
 
Nimeshangaa wanatumia gari ndogo double cabin kwenye mapambano badala ya mashine za vita
Wamezuiwa kupata siraha itakuwa vifaru hivi hamas kma wangekuwa na siraha za kutosha myahudi hawezi kuishi Kwa amani hpo mashariki ya kati ndio maana wanatumia maroketi ya kizamani

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
H
Ezbollah Bado hawajaingia vitani ila wanasema wanafutilia Kwa karibu kinachoendelea na wanaendelea kuwasiliana na viongozi wa HAMAS.
Kuhusu nani atashinda hakuna mshindi atakayepatikana zaidi ya kukaa chini na kuelewana, ila madhara makubwa ya vita ya tatatokea upande wa Palestine. Israel atatumia nguvu kubwa kurudisha majibu kwani unyago aliochezewa na HAMAS Leo Asubuhi ni aibu Kwenye uso wa Dunia.
Harafu wale wamarekani wa buza utasikia Israel achana nayo Wana vifaa vya kuzuia siraha hayo magroneti tu yanawatoa nishai KIFUPI wayahudi bila Amerika ni nyoka la kibisa

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Harafu wale wamarekani wa buza utasikia Israel achana nayo Wana vifaa vya kuzuia siraha hayo magroneti tu yanawatoa nishai KIFUPI wayahudi bila Amerika ni nyoka la kibisa

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Mpaka Sasa waisrael 600 wamepoteza maisha huku wapalestina zaidi ya 300 wameaga dunia. Kwahyo unaona hapo nguvu ya HAMAS. Propaganda Zina mwisho wake ni aibu na pigo kubwa Kwa vyombo vya ulinzi na usalama vya Israel.
Nikiwa mdogo kaka zangu waliniambia kwamba waisrael Wana akili kuliko binadamu yoyote, lakini Jana wameshindwa kung'amua kwamba HAMAS walirusha makombola kuwazuga Israel, wakati majeshi ya waisrael wanajibu Kwa makombola kumbe wenzao wanaingia Kwa miguu
 
Kuna vita vinaendeleaga huko goma na kivu wanaouawa na watu wetu hakuna mwarabu Wala myahudi anayetatizwa hili na sisi wenyewe Wala hatujali vita Yao lazima tu take side based on religious beliefs yaani hapa ndio tumepotea kama binadamu
 
Mpaka muda huu sidhani kama kuna ambaye hajajua kinachoendelea huko Mashariki ya kati between Israel and Palestine.

Kwa upande wa Palestine, mapema leo asubuhi wameanzisha peration maalum ijulikanayo kama 'operation Al aqsa' inayojumisha makundi ya wanamgambo wa Hamas na Hesbola yenye lengo la kukomboa maeneo ya Palestina ambayo yanakaliwa kimabavu na Israel, like ukanda wa Gaza.

Katika kujibu mashambulio hayo mabaya zaidi kutokea Israel tangu miongo kadhaa iliyopita, waziri mkuu wa Israel ametangaza rasmi ya kuwa nchi yao ipo vitani na 'operation Iron sword' tayari imesha anza.

Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti waisraeli 100 wameshauwawa na wanajeshi w 57 wametekwa, wakati kwa upande wa wapestina, watu wapatao 120 wameuwawa. Inasemekana jumla ya majeruhi imefikia elfu 1000 so far.

Je, ni operesheni ipi itaibuka kidedea?? maana hali inazidi kuwa mbaya kila dakika inapokata.
Binafsi nawatakia kila la kheri Wapalestine.
 
hapo ndio pazuri. mwisho wa iran unakaribia.
Kweli??? Yaani unafikiri Wapalestina wamekurupuka tu na kurusha roketi 500 bila kujiandaa vizuri kuhusu majibu ya Israel - mpango huu hauwahusu Wapalestina tu kuna marafiki wao wanao wasaidia kwa kificho - na Israel hisipo kuwamakini sana vitahii inaweza kuwa balaa kubwa kwake licha ya kumiliki silaha za nuclear - wanajuaje kama Iran na wao hawana?? Ukiangalia pichakwa umakini shambulio hilo halikuwa la kawaida hata kidogo, nina uhakika roketi hizo zimeundwa Iran sio Palestina.
 
Kuna vita vinaendeleaga huko goma na kivu wanaouawa na watu wetu hakuna mwarabu Wala myahudi anayetatizwa hili na sisi wenyewe Wala hatujali vita Yao lazima tu take side based on religious beliefs yaani hapa ndio tumepotea kama binadamu
Hii ngozi imejaa unafiki sana utafikiri lbda wale sio ndgu zetu tunashabikia ambayo sio ya kwetu

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Msianze kulia Palestine ikianza kushushiwa makombora ya kufa mtu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Yatoke wapi? Wewe unajua kwenye maghala yao Wapalestina hivi sasa wanamiliki silaha kihasi gani kama leo wameweza kushambulia karibu Israel Nzima kwa Roketi, unajua kesho wanaweza kufanya nini??? Ndege zavita za Israel zinaweza kweli kujibu mapigo lakini shambulio laleo la Wapalestina limedhilisha kwamba na wao wanajitayarisha kitungua ndege hizo kwa njia zozote zile, Wapalestina si wajinga kivile halafu kuna kiladalili kwamba hatakundi la HAMAS litaingia katika vitahii.
 
Palestinians for now bora wangeangalia utaratibu tu wa kuishi kwa amani na Israeli, wao wawili waamue kukaa chini meza moja wafute tofauti za enzi za mababu huko, wachague kuishi pamoja kama raia wa nchi moja.
Utaratibu gani huo wauangalie wakati kila siku wanafuatwa na kubomolewa nyumba zaona miji yao kwa ajili ya kujenga nyumba na makazi mapya ya Israel na dunia nzima imekaa kimya. Ingekuwa hao wapalestina ndio jamii yako ungefanya nini?
 
Hamas na washirika wake wanapambana "guerilla war fare, mapambano ya mtaa kwa mtaa,
Hamas sio conventional armed forces, hawana combat maalum,wakati IDF, ni conventional armed, force, hapa itabidi Israel itumie special forces na vijana wa Mossad kuipiga hii Vita,
Kwa sababu Hamas wakipiga wanajificha maeneo ya watu, wananchi wa kawaida ndio watakaolipa ghsrsma kubwa,
Vijana wa Hamas waliiingia Israel kwa parachuti, miji ya mpakani na Gaza, vikosi vya Israel havikutegemea kabisa
 
Back
Top Bottom