Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Kuna mtu kauliza utambulisho wa Dini yako kwani???
Punguza miwasho
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Unasomaga Biblia pamoja na history ya Israel
 
kwa kweli hamas wameleta shambulio kubwa sana na wameuwa sana na wameshangilia sana. sasa wakianza kupigwa, msianze kulia lia na kuwaonea huruma.
Wenyewe wanauwezo wa kuwapiga hao waisraeli pia.piga nikupige.
 
hata waarabu wanakuoneni ninyi manyani tu. au hujui hilo?
Nimekwambia nashobokea mwarabu! Basi kama umechukia endelea kujipendekeza labda unaweza kupata bwana ukaolewa kabisa na wewe uwe myahudi.
 
kwa kweli hamas wameleta shambulio kubwa sana na wameuwa sana na wameshangilia sana. sasa wakianza kupigwa, msianze kulia lia na kuwaonea huruma.
israel walifanya kosa kubwa sana kuwithdraw from gaza strip, walitaiwa waendelee kuwepo. sasa watarudi.
 
Mtu yoyote mpenda Amani hawezi sapoti mauaji na unyanyasaji wa Israel .

Tizama hii hii graphic image, haiitaji kujua kispanyola kuweza kuielewa

View attachment 2774680
mf ss hv Hamas wameanza shambulia bado utalalamika waisrael wakijibu , na imekuwa hivyo siku zote Wapalestina wanaanza shambulia waisrael , je ni sahihi wapalestina kuua waisrael ila sio sahihi waisrael kujib? je wao wapalestina tukiwaomba waondoke hapa bongo kama wanavyotaka waisrael , je wataona sawa ? WAPALESTINA WAKEMEWE , WALIKATAA KUUNDA TAIFA MOJA NA WAISRAEL JE KWANN WASIJIKITE KWENYE KUUNDA TAIFA LAO BADALA YA KUTAKA KUWAMEZA WAISRAEL NA KUUA UTAIFA WA WAISRAEL , HUU SI UKABILA
 
Wakati huo huo waziri wa ulinzi wa Marekani Lloyd Austin amesema pentagon itashirikiana na Israel kwa ipo sapoti ya kila namna kuhakikisha operesheni Iron sword' na Israel kwa ujumla inashinda.

IMG_20231007_204946.jpeg
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Hili Tatizo ni La ki-deen Allah ameagiza!;
[emoji116][emoji116]
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wafaulu!
[emoji116][emoji116]
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.

Mungu wa deen Hamas Amewaagiza adui yao mkubwa Sio shetani Ilaha Ushuzi! ili wafaulu lazima wayaishi haha!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Huwezi ukawasuluhuhisha kisiasa!; watakuona unawatakia waende jehannam Kwa usafiri!

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Anavamia kivip mkuu hebu tupe shule
 
Nazan ni matope,.... Chokoza, piga, pora ardhi, suluhu, tena chokoza .... Let Palestinian die for their land , sizan Kama nchi ingepata Uhuru kamanyerere angekuwa cocksucker...
kitu gani? mtu anarusha rocket 7,000 nyumbani kwako, ukimpiga kerubu mtu kama wewe anakuja anasema kuna kitu hakipo sawa? akili au matope.
 
Msichokijua nyie mnaoshabikia dini ni hiki
1. Palestina kuna wakristo pia
2. 30% ya waizraeli ni waislamu 21% ni waorthodox 19% ni wakristo. Waliobaki ni dini zingine

Hii vita ni ya maeneo siyo dini japo kuna udini umeingizwa wa msikiti wa Al Aqsa ili wapalestina wapate sapoti ya waislamu wa Israeli.
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
Unao ushahidi wa kibiblia kuwa Tanzania inaishia hapo ilipo? Dini uliyo nayo ni nyepesi sana. Haina utu wala Rehema haipo wala injili haipo
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
Ukisoma Bible Israel ni taifa liloachwa chini ya laana. Na wewe soma Bible
37 Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku avikusanyavyo pamoja vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!
Mathayo 23:37

38 Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.
Mathayo 23:38

Kwa kumktaa Mwokozi they are no longer taifa teule. Wako level moja na Msumbiji, Palestina na wote wanamhitaji Mwokozi.
Tuache dini dhaifu
 
Back
Top Bottom