Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Msichokijua nyie mnaoshabikia dini ni hiki
1. Palestina kuna wakristo pia
2. 30% ya waizraeli ni waislamu 21% ni waorthodox 19% ni wakristo. Waliobaki ni dini zingine

Hii vita ni ya maeneo siyo dini japo kuna udini umeingizwa wa msikiti wa Al Aqsa ili wapalestina wapate sapoti ya waislamu wa Israeli.
73.8 percent of the population is Jewish,

18 percent Muslim,

1.9 percent Christian, and

1.6 percent Druze
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Usitangulize Ukristu kwenye ujinga, hawa walichokifanya ni ujinga wa hali ya juu, na wanalipwa kwa kadiri ya matendo yao. Kwanza ungekuwa na akili kidogo ungekumbuka Palestina ndio mojawapo ya nchi iliyoshirikiana na Idd Amin kuua wanajeshi wa Tanzania kwenye vita na Uganda.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
 

Attachments

  • 20231007_215818.jpg
    20231007_215818.jpg
    76.4 KB · Views: 2
Usitangulize Ukristu kwenye ujinga, hawa walichokifanya ni ujinga wa hali ya juu, na wanalipwa kwa kadiri ya matendo yao. Kwanza ungekuwa na akili kidogo ungekumbuka Palestina ndio mojawapo ya nchi iliyoshirikiana na Idd Amin kuua wanajeshi wa Tanzania kwenye vita na Uganda.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
permanides Cheki kumbukumbu zako vizuri. Palestina walikuwa ni marafiki wa J K Nyerere na wana ubalozi wao mpaka leo maeneo ya Upanga Dar es Slaam.

Iddi Amin alisaidiwa na Muamar Gadaffi kwa silaha na askari ili kuja kupigana na Tanzania. Bahati nzuri majeshi yetu shupavu yaliishinda Uganda ya Iddi Amin ma Gadaffi na kuwakamata mateka askari wa Libya.

Baada ya vita mwaka 1979, Nyerere aliwaachia mateka hao bila masharti
 
Wewe mkristo Israel wanakuona ni mbwa tu.
Yaani mkiingiza dini kwenye hii vita lazima muwe bias, Palestina na Israel wote wanatetea makazi Yao. Ukristo uliletwa na wazungu waliokuja kututawala na uislamu uliletwa na waarabu waliokuja kuwafanya Babu zetu kua watumwa. Wote waarabu na Waisraeli wanatuona mbwa tu linapokuja suala la kutetea makazi yao
 
Waisrael leo wamefanyiwa kitu ambacho yeyote yule akifanyiwa hata awe nani hawezi jipanga upesi. Ila kwa sasa waliobaki ndani ya Israel watajuta.

Hadi sasa Israel kapoteza watu 300
 
Hakuna ataeamka kidedea.

Naamini hii ni mipango ya Israel na Mossad ili kuwamaliza wapelestina.

Hii haina tofauti na September 11. Ni mipango ya Mossad.
 
Mungu wa Israel na baal siku zote Mungu wa Israel huwa anashinda kwa kishindo. hamas wanawaumiza tu raia wa palestina, ukiangalia kwenye video, israel hata amburance ni nyingi mitaani zinaokoa watu, palestina hata amburance huzioni, wanakufa kibudu.
Kwahyo wa palestine hawana mungu au mungu wao ni tofauti na waisrael walokole leo mnahaha
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
Ona ili jinga, hiv uvamie ardhi ya mtu alafu ukidaiwa ushahidi useme ni Mungu alikupa? Mna akili nyie? Hao wayahudi hawakuwai kuwepo hapo hata maandiko wakitumia hayathibitishi israel ya biblia ndio iyo ardhi ya palestina.

Sometime mambo ya kihistoria yanapojadiriwa muwe mnaweka mahaba yenu ya kidini pembeni
 
Kusema eti ushahidi ni biblia, inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kupitiliza. Yani uko serious kabisa, eti watu waliokaa sehemu vizazi kwa vizazi, wawapishe wale jamaa eti kwa ushahidi wa maandiko ya kwenye biblia? Au unatania?

Wewe kuiamini biblia haifanyi watu wengine pia wawe na ulazima wa kuifuata. Hao jamaa wenyewe unaosema ushahidi wao upo kwenye biblia, hawaiamini hiyo biblia. Na wamefikia hatua ya kuwatemea mate wakristo.

Hebu leta hoja yenye mashiko, na sio hizi hekaya!
Wewe unavyoumia kwani ni mwarabu?kwanini umeruka bara lako ambalo nalo lina migogoro na kugushwa na jamii ya bara lingine kama sio athari za utumwa ni nini?au hicho kitabu cha mod kimekupa mzuka?
 
Mpaka muda huu sidhani kama kuna ambaye hajajua kinachoendelea huko Mashariki ya kati between Israel and Palestine.

Kwa upande wa Palestine, mapema leo asubuhi wameanzisha peration maalum ijulikanayo kama 'operation Al aqsa' inayojumisha makundi ya wanamgambo wa Hamas na Hesbola yenye lengo la kukomboa maeneo ya Palestina ambayo yanakaliwa kimabavu na Israel, like ukanda wa Gaza.

Katika kujibu mashambulio hayo mabaya zaidi kutokea Israel tangu miongo kadhaa iliyopita, waziri mkuu wa Israel ametangaza rasmi ya kuwa nchi yao ipo vitani na 'operation Iron sword' tayari imesha anza.

Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti waisraeli 100 wameshauwawa na wanajeshi w 57 wametekwa, wakati kwa upande wa wapestina, watu wapatao 120 wameuwawa. Inasemekana jumla ya majeruhi imefikia elfu 1000 so far.

Je, ni operesheni ipi itaibuka kidedea?? maana hali inazidi kuwa mbaya kila dakika inapokata.
Imani na vitabu vya kale bado vinawatesa watu. Izi Imani badala ya kuleta upendo na umoja kwa binadamu zimeleta VITA, Leo hii kunguru wasio na dini wanaishi kwa umoja na amani kuliko binadamu.

Bado kuna watu wanasema kuna kitabu cha mungu..!! Ndani ya icho kitabu kila Mtu amekielewa kivyake na kila mtu anamuona mwenzake amekosea ila ye ndio yupo sahihi.

Kwa nini wasiishi kama nchi moja na kila mtu akaamini vile aaminivyo na kuabudu Kwa Uhuru mda mwingine TANZANIA NDIO INAONEKANA NCHI YA BUSARA KULIKO ATA AWO WANAOJIITA WA ARDHI TAKATIFU
 
Back
Top Bottom