Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

Operations Al aqsa flood Vs Operation Iron Sword, nani ataibuka kidedea?

H
Mpaka muda huu sidhani kama kuna ambaye hajajua kinachoendelea huko Mashariki ya kati between Israel and Palestine.

Kwa upande wa Palestine, mapema leo asubuhi wameanzisha peration maalum ijulikanayo kama 'operation Al aqsa' inayojumisha makundi ya wanamgambo wa Hamas na Hesbola yenye lengo la kukomboa maeneo ya Palestina ambayo yanakaliwa kimabavu na Israel, like ukanda wa Gaza.

Katika kujibu mashambulio hayo mabaya zaidi kutokea Israel tangu miongo kadhaa iliyopita, waziri mkuu wa Israel ametangaza rasmi ya kuwa nchi yao ipo vitani na 'operation Iron sword' tayari imesha anza.

Vyombo vya habari vya Israel vimeripoti waisraeli 100 wameshauwawa na wanajeshi w 57 wametekwa, wakati kwa upande wa wapestina, watu wapatao 120 wameuwawa. Inasemekana jumla ya majeruhi imefikia elfu 1000 so far.

Je, ni operesheni ipi itaibuka kidedea?? maana hali inazidi kuwa mbaya kila dakika inapokata.
Ezbollah Bado hawajaingia vitani ila wanasema wanafutilia Kwa karibu kinachoendelea na wanaendelea kuwasiliana na viongozi wa HAMAS.
Kuhusu nani atashinda hakuna mshindi atakayepatikana zaidi ya kukaa chini na kuelewana, ila madhara makubwa ya vita ya tatatokea upande wa Palestine. Israel atatumia nguvu kubwa kurudisha majibu kwani unyago aliochezewa na HAMAS Leo Asubuhi ni aibu Kwenye uso wa Dunia.
 
Mtu yoyote mpenda Amani hawezi sapoti mauaji na unyanyasaji wa Israel .

Tizama hii hii graphic image, haiitaji kujua kispanyola kuweza kuielewa

Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
IMG_20231007_195857.jpeg
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
Kusema eti ushahidi ni biblia, inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kupitiliza. Yani uko serious kabisa, eti watu waliokaa sehemu vizazi kwa vizazi, wawapishe wale jamaa eti kwa ushahidi wa maandiko ya kwenye biblia? Au unatania?

Wewe kuiamini biblia haifanyi watu wengine pia wawe na ulazima wa kuifuata. Hao jamaa wenyewe unaosema ushahidi wao upo kwenye biblia, hawaiamini hiyo biblia. Na wamefikia hatua ya kuwatemea mate wakristo.

Hebu leta hoja yenye mashiko, na sio hizi hekaya!
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Ukristo wako unahusiana nn na vita ya Israel na Palestina
 
Mimi ni mkristo, na siungi mkono unyanyasaji unaofanywa na Israel kwa wapalestina. Kila siku watoto wanauwawa hapo Palestina. Imefika muda kifo sio tishio tena kwao.

Haya wanayoyapitia Israel leo, wapalestina wanayapitia kila siku. Acha na wao waone uchungu wa kupoteza ndugu zao.

NB: Nimeshangaa kuona wale jamaa wanaopinga Russia kuivamia Ukraine, leo wako upande wa Israel ambae ni mvamizi wa ardhi ya Palestina. Mbinguni mtapasikia tu kenge wanafki nyinyi!
Sasa Ukristo umeingiaje kwenye hivyo vita? IQ kama yako ndio inatufanya wakristo tuonekane wajinga na tunajikomba komba kwa Waisrael.
 
Kusema eti ushahidi ni biblia, inaonyesha jinsi gani uwezo wako wa kufikiri ni mdogo kupitiliza. Yani uko serious kabisa, eti watu waliokaa sehemu vizazi kwa vizazi, wawapishe wale jamaa eti kwa ushahidi wa maandiko ya kwenye biblia? Au unatania?

Wewe kuiamini biblia haifanyi watu wengine pia wawe na ulazima wa kuifuata. Hao jamaa wenyewe unaosema ushahidi wao upo kwenye biblia, hawaiamini hiyo biblia. Na wamefikia hatua ya kuwatemea mate wakristo.

Hebu leta hoja yenye mashiko, na sio hizi hekaya!
ukienda leo pale israel, kuna makaburi ya Daud, Absalom, Suleiman, ukuta wa hekalu ambalo mfalme wa israel suleiman ambaye hata ninyi kwenye kitabu chenu yupo alijenga. hao walikuwa ni waisrael na hilo ni eneo lao.
 
kama hauelewei, eneo looote hadi mfereji wa suez, hadi jordan hadi mpakani na syria, ni mali ya israel. hakuna eneo hata moja wapalestina wanaishi ambalo sio mali ya wayahudi, Mungu aliwapa urithi wa milele. ushahidi upo. read the Bible.
Unafahamu kama wamasai kwa imani yao ya asili wanaamini ng'ombe wooooooote waliopo duniani wamepewa wao kuwamiliki na kuwasimamia.

Hilo linawapa haki ya kuwakamata na kuwachukua popote pale watakapowaona!

Je siku wamasai wakianzisha operesheni ya kurudisha ngombe wote nyumbani utaona ni halali wavamie miji yote kujichukulia ngombe wao.

Ni Mungu wao kawapa, ushahidi? Kasikilize masimulizi yao 'oral traditions'

Je ? Ina make sense?
 
ila kwa upande mwingine, hamas walijiandaa sana, kwasababu nikiangalia hapa video, wamerusha rocket hadi AShkelon ambako ni mbali sana toka Gaza. magari mengi ya wayahudi yanaungua mitaani. though kule kuna zima moto wanazima, na kuna bima za magari watarecover kila kitu hadi nyumba zilizobomolewa. upande wa hamas kule, ukipoteza umepoteza.
 
[emoji1130]Irani imetangaza kutoa full sapoti kwa opesheni Al aqsa Palestine.

Hayo yamesemwa na generali Yahya Safavi- na mshauri mkuu kwa kiongozi mkuu wa kidini wa Irani

"We support the commendable operation of Al-Aqsa Storm.
IMG_20231007_201458.jpeg
 
ila kwa upande mwingine, hamas walijiandaa sana, kwasababu nikiangalia hapa video, wamerusha rocket hadi AShkelon ambako ni mbali sana toka Gaza. magari mengi ya wayahudi yanaungua mitaani. though kule kuna zima moto wanazima, na kuna bima za magari watarecover kila kitu hadi nyumba zilizobomolewa. upande wa hamas kule, ukipoteza umepoteza.
Sipendi Vita Ila kuna kitu hakipo Sawa Israel
 
"We must take sides. Neutrality helps the oppressor, never the victim." - Elie Wiesel.



Reast in peace Fidel Castro, Julius Nyerere, Nelson Mandela and all other freedom fighters who stand against with Palestine against Israel atrocities.
 
Back
Top Bottom