Kwamba Israel ndio kateka majeshi na raia wake, wanawake kwa watoto na kuwapeleka Gaza?
Binafsi mimi sina upande kati Palestinians na Israeli, ninachohitaji ni amani kwa wote kama ni makosa yalishafanyika, hivyo tusiangaike na kitu ambacho hakitawezekana kabisa.
Palestinians for now bora wangeangalia utaratibu tu wa kuishi kwa amani na Israeli, wao wawili waamue kukaa chini meza moja wafute tofauti za enzi za mababu huko, wachague kuishi pamoja kama raia wa nchi moja.
Lakini najua itakuwa ngumu kwa Palestinians kukubali hili wazo, coz wanapelekeshwa na mataifa jirani ya kiislam na ndio hawataki wawe na umoja na atimaye waishi pamoja, hivyo naona hali itaendelea kuwa mbaya zaidi na pengine unyakuzi wa maeneo mengine