Kitchener
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 13,833
- 27,737
walitokea misri na maeneo mengine ya waarabu, wakavamia baada ya wayahudi kuchukuliwa utumwani baabeli. umejenga nyumba yako, ukafungwa gerezani, watu wakavamia kwasababu wewe haupo, umetoka gerezani kurudi nyumbani kwako mtu amekaa na anasema na kwake na hatoki wewe ndio mvamizi. wakati yapo hadi mawe ya majengo uliyojengea wewe kabla haujaenda gerezani kama ushahidi.Kitabu kimeandikwa na wana wa Yakobo na aliowapa ahadi ya ardhi ni mungu wa Yakob. Swali, kama pale wapalestina sio kwao, wametokea wapi?