Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Vitisho vya namna hii vimepitwa na wakati.
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Kulazimisha mtu aliyeshindwa kuongoza ABAKI ndio uzalendo ? Kwanza mleta uzi hakusema atashika mtutu , atapita nyumba kwa nyumba kuhakikisha magufuli hachaguliwi tena , je huu ndio uhaini ?
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Kulazimisha mtu aliyeshindwa kuongoza ABAKI ndio uzalendo ? Kwanza mleta uzi hakusema atashika mtutu , atapita nyumba kwa nyumba kuhakikisha magufuli hachaguliwi tena , je huu ndio uhaini ?
 
Acha kutisha watu pimbi wewe, kamkamateni Lisu jana amerudia tena kumuita Dikteta uchwara, tena mbele ya makamera.
Wamebaki na aibu .Jana lissu kamchana " live" magufuli anamuweka mtoto wa Dada yake katibu mkuu wa Wizara ya fedha ili waendelee kutuibia.
 
Rose Mayemba, huna haja ya kuumiza kichwa. Watanzania wanajua kinachoendelea, mwache huyo dikteta ajipigie chapuo. Hata iweje, huyu miaka yake ni mitano tu. Watanzania tumechoka kula udongo.
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....

Anamaanisha baada ya miaka 10 ya magufuri kama wale wanaotaka pia aendelee baada ya miaka 10 yake kuisha
 
Back
Top Bottom