Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,300
Njoo chemba au endelea Kutamani huko huko ulipo!
Njoo chemba au endelea Kutamani huko huko ulipo!
Vitisho vya namna hii vimepitwa na wakati.Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Mtakamata wangapi? Lissu mmeshamkamata? Maana jana katema " nyongo" kama mnahasira sana hameni nchi.Vyombo vya dola vimkamate huyu mtu haraka analeta uchochezi
Kulazimisha mtu aliyeshindwa kuongoza ABAKI ndio uzalendo ? Kwanza mleta uzi hakusema atashika mtutu , atapita nyumba kwa nyumba kuhakikisha magufuli hachaguliwi tena , je huu ndio uhaini ?Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Kulazimisha mtu aliyeshindwa kuongoza ABAKI ndio uzalendo ? Kwanza mleta uzi hakusema atashika mtutu , atapita nyumba kwa nyumba kuhakikisha magufuli hachaguliwi tena , je huu ndio uhaini ?Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Anatuma watu kupima upepo. Lissu kawaita wajinga hao.Hivi ni lini JPM aliutangazia umma kuwa anataka kuongeza miaka mwingine 10?
Post sent using JamiiForums mobile app
Waliishia Chato na maeneo ya usukumani huko.
Wamebaki na aibu .Jana lissu kamchana " live" magufuli anamuweka mtoto wa Dada yake katibu mkuu wa Wizara ya fedha ili waendelee kutuibia.Acha kutisha watu pimbi wewe, kamkamateni Lisu jana amerudia tena kumuita Dikteta uchwara, tena mbele ya makamera.
Unataka tuweke orodha ya vitu maalum wa chama chetu hapa ambao ndoa zimewashinda?Kama wewe Rose ndoa inekushinda, utaweza kumuondoa Rais Magufuli madarakani? Tehetehetehe. Kick zingine bana!
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Hakika boss mkuuRose Mayemba, huna haja ya kuumiza kichwa. Watanzania wanajua kinachoendelea, mwache huyo dikteta ajipigie chapuo. Hata iweje, huyu miaka yake ni mitano tu. Watanzania tumechoka kula udongo.