Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

utakutana na wale wasiojulikana, we fanya mchezo.
 
Yaani Lumumba wamesoma sentensi ya "Operesheni Ng'oa Magufuli Inakuja", wamepaniki kiasi ambacho wanaweza kuamrisha jeshi la polisi kwenda "kutawanya maandamano" kwa risasi za moto za SMG na AK47... !!

Wengine wameshaanza hata kumhukumu huyu Dada mleta hoja kuwa ni "Muhaini" kwa sbb eti anahamasisha kumng'oa Rais Magufuli wakati eti alipigiwa kura na kushinda ktk uchaguzi....!!

Hawa watu dizaini ya Rutashobolwa hata hawaelewi kuwa, Magufuli anaweza kung'oka kwa kutumia njia hiyohiyo ya kura zilizomfanya awe Rais kwa kura za wizi.....Wapi uhaini hapo ???

Pia zipo njia lukuki za kikatiba za kumng'oa Rais Magufuli (impeachment) hata kama hajamaliza muda wake wa miaka mi5 iwapo tu inathibitika kuwa hastahili kuendelea kuwa Rais especially kwa kufanya makosa ya kikatiba ambayo tayari ameshayafanya meeengi tu....... Wapi uhaini hapo ??

OPERESHENI NG'OA MAGUFULI na ije tu tumng'oe huyu kwa sababu hakuna namna tena ya kumsaidia na kuendelea kumvumilia..!!
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Mbona unamfundisha mwenzio nidhamu ya uoga man
Kwani kutaka mtu atawale milele kinyume na katiba siyo uhaini man au nyie ndiyo wale mnaojipendekeza
 
Niko mstari wa mbele hapo ktk operation yako mkuu
 
Back
Top Bottom