Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Ukawa wakiongozwa na cdm kwa jinsi walivyo na bongo za kushikiwa wakaamua wa okote uchafu ulio ndani ya hiyo ndoo ya chafu ya ccm na kula sasa baadhi yao wanaharisha na kutapika bila utaratibu.


Na washawasha!


hivi unajua kuwa wenzi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.

1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.
 
waamb
POLE XANA NDUGU YANGU. INAWEZEKANA UFUKUZWA KAZI KWA KUKUTWA UNACHETI CHA DARASA LA SABA.

ILA KWA TAARIFA YAKO MAGUFULI HATOKI MPAKA MAFISADI WOTE MNYOOOKEE.
HUKO KWA KWENYE CHAMA CHENU MUMEBAKIA WAKUMBATIA MAFISADI NA WALA RUSHWAAA. SISI HUKU MAFISADI NI MWIKOOOO.
KAENI KUWATETEA TU HAO MAFISADI. ILA MWISHO WAO UMEFIKAAA.
TUNAE JPM MUNGU KATUSHUSHIA TULIA TU MAENDELEO NDO HABARI YA MJINI.
MAJUNGU NA MATAMKO HEWA PELEKA KWENYE LICHAMA LAKO.

waambie tu..unajua wamemezeshwa uongo wa kale kazee kao kuwa yeye ni safi baada ya kuwa nao
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....

Kamshinda nani kwenye box la kupigia kura?
Mshindi anamwogopa sana aliyemshinda kiasi anatamani hata asiseme lolote, wewe hujiulizi tu? Au kwako umeshindwa kuiona hiyo?
 
POLE XANA NDUGU YANGU. INAWEZEKANA UFUKUZWA KAZI KWA KUKUTWA UNACHETI CHA DARASA LA SABA.

ILA KWA TAARIFA YAKO MAGUFULI HATOKI MPAKA MAFISADI WOTE MNYOOOKEE.
HUKO KWA KWENYE CHAMA CHENU MUMEBAKIA WAKUMBATIA MAFISADI NA WALA RUSHWAAA. SISI HUKU MAFISADI NI MWIKOOOO.
KAENI KUWATETEA TU HAO MAFISADI. ILA MWISHO WAO UMEFIKAAA.
TUNAE JPM MUNGU KATUSHUSHIA TULIA TU MAENDELEO NDO HABARI YA MJINI.
MAJUNGU NA MATAMKO HEWA PELEKA KWENYE LICHAMA LAKO.

Mwandiko huu hakika wewe ni chama kile... bisha kama si kweli. Mtu mwenye mwandiko kama huu ni kazi sana kuona mambo kwa upana ndiyo mana hata fikiri yako imeishia hapa
 
muwe mnaficha

jitahidi kuficha upumbavu wako,onyesha busara zako ,hao wanaokusupport ukipelekwa kisutu ata chai watashindwa kukuletea.Ni wengi tu hatukubaliani na utawala wa magufuli ila hatuvuki mipaka kama wewe
siasa za mitandaoni zinawaharibu sana vijana wa chadema,mimi naziita ni siasa mfu hasa ktk awamu hii ya tano
hao wanaosema Magufuli abaki wanatofauti gani na sisi tunaosema Lowassa 2020?

Mimi siamini kama uko timamu unaweza shindwa tofautisha kati ya huyo Lowasa2020 na Raisi wa nchi anapoambiwa abaki.
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Operation ya kumbakiza sio uhaini?
 
Wakati yeye mwenyewe ni FISADI tu hana lolote zaidi ya kujilimbikizia mali kama wenzake
Kuna wengi ambao hawajitambui au hawatambui linaloendelea wanajibu kwa mihemko tu. Mafisadi wapo ndani ya ccm huwa nashangaa wanaposema mafisadi watamtambua mtukufu so far nani ameshitakiwa na kuhukumiwa sababu ya ufisadi? Waliokamatwa wameachiwa sijui hii vita ya ufisadi inafanyikia mbinguni ahera au duniani? Yanayoendelea chato ni kufuru ati! Akiondoka madarakani ndio ukweli na uongo utajulikana.
 
Kuna wengi ambao hawajitambui au hawatambui linaloendelea wanajibu kwa mihemko tu. Mafisadi wapo ndani ya ccm huwa nashangaa wanaposema mafisadi watamtambua mtukufu so far nani ameshitakiwa na kuhukumiwa sababu ya ufisadi? Waliokamatwa wameachiwa sijui hii vita ya ufisadi inafanyikia mbinguni ahera au duniani? Yanayoendelea chato ni kufuru ati! Akiondoka madarakani ndio ukweli na uongo utajulikana.

Hivi huwajui wanaCCM ni wanafiki kiwango cha PhD.Jamaa yetu akitoka madarakani utayasikia
 
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama m/kiti wenu tu mnashindwa kumng'oa unadhani watz watakuruhusu umnng'oe rais wao?
 
Kama wewe Rose ndoa inekushinda, utaweza kumuondoa Rais Magufuli madarakani? Tehetehetehe. Kick zingine bana!
Ndoa hawezi kuipata kazi yake ni kuwaponza makamanda wa njombe huko....
 
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
una baraka za mwenye chama mzee wa RICH MONDULI..?
 
ILI MPATE UHURU WA KUFANYA UFISADI NA KUPIGA MADILI??

TUNAANDAA MKAKATI AONGOZE MDA USIOJULIKANAAAA.
MAFISADI TULIENI HUU NDO MWISHO WENUU
MAGUFULI HANG'OKI ATA KIDOGO. HADI MSHIKE ADABUUU.
MUMETUIBIA WANYONGEEE, INATOSHAAA.
KAENI PEMBENI NA TENA PISHENI KABISAAA
Mbona Chenge hamumfukuzi jamani. Acheni unafiki huo..
 
POLE XANA NDUGU YANGU. INAWEZEKANA UFUKUZWA KAZI KWA KUKUTWA UNACHETI CHA DARASA LA SABA.

ILA KWA TAARIFA YAKO MAGUFULI HATOKI MPAKA MAFISADI WOTE MNYOOOKEE.
HUKO KWA KWENYE CHAMA CHENU MUMEBAKIA WAKUMBATIA MAFISADI NA WALA RUSHWAAA. SISI HUKU MAFISADI NI MWIKOOOO.
KAENI KUWATETEA TU HAO MAFISADI. ILA MWISHO WAO UMEFIKAAA.
TUNAE JPM MUNGU KATUSHUSHIA TULIA TU MAENDELEO NDO HABARI YA MJINI.
MAJUNGU NA MATAMKO HEWA PELEKA KWENYE LICHAMA LAKO.
Unaangalia vizuri kweli wewe au unashabikia tu Magufuli?? Hakuna chama chenye mafisadi wengi kama CCM. Labda kama huna macho.
 
Hivi kumbe huyu binti ndoa imemshinda mkuu!?
Wanawake aina hii ni viumbe hatari sana katika jamii.
Hata hiyo ndoa hakuwai kuipata...ni wakuonea huruma kwa kutafuta kiki.... ni kabinti kadogo kaliko taka ubunge viti maalum lakini akapewa Upendo Peneza kanalazimisha kipelekwe keko ili kipate kiki
 
Hata hiyo ndoa hakuwai kuipata...ni wakuonea huruma kwa kutafuta kiki.... ni kabinti kadogo kaliko taka ubunge viti maalum lakini akapewa Upendo Peneza kanalazimisha kipelekwe keko ili kipate kiki
Asante kwa taarifa mkuu.
Kwa mwenendo huu ataipata Kiki ya jafongo (sosoliso,yale magari ya mkaa miaka ya 80) hivi karibuni.
 
maisha magumu sana mtaani.natamani huyu rais hata kesho aondoke madarakani. hakuna faida tuipatayo watanzania tulio wengi kwa utawala huu...
 
Back
Top Bottom