Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 850
Ukawa wakiongozwa na cdm kwa jinsi walivyo na bongo za kushikiwa wakaamua wa okote uchafu ulio ndani ya hiyo ndoo ya chafu ya ccm na kula sasa baadhi yao wanaharisha na kutapika bila utaratibu.
Na washawasha!
Na washawasha!
hivi unajua kuwa wenzi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.
1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.