Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....

Wewe muhaya usiwatishe na usifunge watu midomo kireja reja. Wanaosema baki unajua wana maana gani??
Anza na Mwinyi na wengine wanaotaka tuvunje katiba katika kipengele cha ukomo wa madaraka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Rais ni mtu kama wewe na mimi hakuna any speciality mbali na kupewa jukumu la kuongoza kwa kadri ya matakwa ya katiba na sharia za nchi.
 
mtoa uzi umechelewa tayari.

Njoo na hoja za msingi na sio kuja na mbadala wa mambo walioanzisha wenzio.

kweli mnadhibitisha mnapumulia mashine na mwisho wenu umekaribia.

mlipokuja na operation ukuta hamkutafutiwa mbadala wake bali iliwekwa mikakati thabiti na kufanya isifanyeke hapa serikali walifaulu zaidi ya 100%.

Nakuhakikishia hiyo operation yako ITAFELI VIBAYA kwa sababu utakuwa katika vita ambayo uwezi kupigana nayo maana utateketea ndani ya sekunde.

Upinzani sasa hivi mmechoka tunasubiri tu kurudisha majimbo yetu 2020 na mpotee kabisa kwenye uso wa sayari hii ya Dunia muelekee sayari ya Mars.
 
Rose tafadhali naomba na mimi niwe partner kwenye huo mpango.Na jinsi hawa jamaa walivyo vilaza na mbururaz hautuchukui round wanakimbilia kolomije na chato wote.
 
mtoa uzi umechelewa tayari.

Njoo na hoja za msingi na sio kuja na mbadala wa mambo walioanzisha wenzio.

kweli mnadhibitisha mnapumulia mashine na mwisho wenu umekaribia.

mlipokuja na operation ukuta hamkutafutiwa mbadala wake bali iliwekwa mikakati thabiti na kufanya isifanyeke hapa serikali walifaulu zaidi ya 100%.

Nakuhakikishia hiyo operation yako ITAFELI VIBAYA kwa sababu utakuwa katika vita ambayo uwezi kupigana nayo maana utateketea ndani ya sekunde.

Upinzani sasa hivi mmechoka tunasubiri tu kurudisha majimbo yetu 2020 na mpotee kabisa kwenye uso wa sayari hii ya Dunia muelekee sayari ya Mars.
Mara hii umesahau M4C Magufuli 4 Change? Kweli ccm zimejaa maiti.
 
Ungeanza na operesheni ya kumuondoa mwenyekiti wa kudumu wa Chama chenu kwanza.
Mwizi wa pesa za kivuko zile bilion 251 zilizopotea kule wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa safari hii chupi lazima imbane.
 
hivi unajua kuwa wenzi na walio fanya nchi kuwa tuliko ( HOI) ni sisiemu.

1. Huwezi safisha ndoo chafu kwa kutumia maji machafu.
2. Ukiweka divai mpya kwenye kiriba kikuu lazima kiriba kipasuke.
3. Mswahili anaoga kisha anaosha malapa na anakwenda ndani peku peku ili malapa yasichafuke.
Mkuu,watakwambia "I am a good gun in a bad man's war".

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 
Elimu ya hapa na pale: kweli CCM inapendwa na wenye elimu hafifu kama utafiti wa TWAWEZA ulivyosema. Sasa wewe unasema kwenu hakuna mafisadi. Naomba unitajia hawa wafuatao ni wa chama gani: Ngeleja, Tibaijuka, Chenge,
HAAAAAA HAAAAAAA. HAO ULIOWATAJA WANAHALI GANI KWA SASA NAWAKATI WANARUDISHA WENYEWEEE?? HALAFU YULE JAMAAA YENU MTETEZI WA WAZUNGU ANAWAUNGA MKONO??

JPM NDO CHAGUO LA MUNGU. KAMA HUPENDI HAMA . haaaaaaa haaaaaaa
 
Sijakataa nakubali kabisa, tena ninahamu washitakiwe kwa yote walosababishia nchi kuwa katika kipindi cha utawala wao, na wote wenye kinga waondolewe kinga ili waunganishwe pamoja. kunawakati ili kusafisha choo kichafu inabidi ufunge macho na pua.
Hapo kwenye "wafungwe",vijana wa Lumumba watafurahia lakin hapo kwa "waondolewe kinga" hawatakujibu,,,,,kimyaaaa
 
muwe mnaficha

jitahidi kuficha upumbavu wako,onyesha busara zako ,hao wanaokusupport ukipelekwa kisutu ata chai watashindwa kukuletea.Ni wengi tu hatukubaliani na utawala wa magufuli ila hatuvuki mipaka kama wewe
siasa za mitandaoni zinawaharibu sana vijana wa chadema,mimi naziita ni siasa mfu hasa ktk awamu hii ya tano
hao wanaosema Magufuli abaki wanatofauti gani na sisi tunaosema Lowassa 2020?
..hii tishia unayomtishia Rose hapa ingeeleweka zaidi kama ungeainisha/kuchambua maana na tofauti kati ya - 'Operation Magufuli' Baki na 'Operation Ng'oa Magufuli'
 
Kama wewe Rose ndoa inekushinda, utaweza kumuondoa Rais Magufuli madarakani? Tehetehetehe. Kick zingine bana!
 
Kuna mkakati kabambe wa kubadilisha vifungu vya katiba magufuri aendelee kubaki madarakani kwa miongo kadhaa. ......Kuna vikundi vinafadhiriwa na serikali juu ya jambo hili. .....muda utaongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Naunga mkono hoja....!
 
Back
Top Bottom