Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

maisha magumu sana mtaani.natamani huyu rais hata kesho aondoke madarakani. hakuna faida tuipatayo watanzania tulio wengi kwa utawala huu...
Maisha ni magumu kwa mliokuwa mmezoea wizi,utapeli,ulaghai kwa kujipatia kipato bila kufanya kazi.
Huwezi kusikia mtu anayepata kipato chake kihalali analalamika awamu hii kwa kuwa hakuna kilichobadilika zaidi ya kubana na kuziba mianya na matundu ya Panya kwa kutumia titanium na sio kutumia mikate kama mlivyozoea mapamya buku.
Fanya kazi upate ujira wako stahiki.
 
Ukawa wakiongozwa na cdm kwa jinsi walivyo na bongo za kushikiwa wakaamua wa okote uchafu ulio ndani ya hiyo ndoo ya chafu ya ccm na kula sasa baadhi yao wanaharisha na kutapika bila utaratibu.


Na washawasha!
Hii ndo shida nyingine ya siasa ya Tanzania. Sasa hawa wanatia divai ya zamani kwenye kiriba kipya ndo wanachemsha kabisa.
 
Hii ndo shida nyingine ya siasa ya Tanzania. Sasa hawa wanatia divai ya zamani kwenye kiriba kipya ndo wanachemsha kabisa.


Sijui kama mh JPM amesha wahi kulifikiria hili kuinyosha hii nchi hakuta kamilika kama hatazinyooisha siasa za Tanzania. Hasa suala la ujasiria siasa, uongozi wa kisiasa ni utumishi wa kutumikia watu, kwa bahati mbaya sana Tanzania na Afrika kwa ujumla wake siasa ni Biashara tena inayolipa kuliko mihadarati. Hata ukiangalia siasa za afrika zaendeshwa kama biashara ya mihadarati.


Na washawasha!
 
Operesheni ya kumng'oa Mbowe utaanza lini, coz yeye ni mwenyekiti wa chama cha "demokrasia" milele.

I wonder how you guys call yourselves a democratic party.
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Yaani mpaka kunti majala akampiku atakuwa anatamani uchaguzi ufike labda atabahatika!
 
Hitler alianza kwa kusifiwa mno............ Alichokifanya wote tunakikumbuka.

Hata Idd Amin alianza taratibuuuuuuuuuuu na akapendwa.

Maumivu ya kichwa huanza pole pole.

Huyu athibitiwe mapema.
 
ILI MPATE UHURU WA KUFANYA UFISADI NA KUPIGA MADILI??

TUNAANDAA MKAKATI AONGOZE MDA USIOJULIKANAAAA.
MAFISADI TULIENI HUU NDO MWISHO WENUU
MAGUFULI HANG'OKI ATA KIDOGO. HADI MSHIKE ADABUUU.
MUMETUIBIA WANYONGEEE, INATOSHAAA.
KAENI PEMBENI NA TENA PISHENI KABISAAA
Wajukuu wa mzee lumumba.mnaokula ugali wa bure pale kwa babu yenu mna shida sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hiyo ndoa hakuwai kuipata...ni wakuonea huruma kwa kutafuta kiki.... ni kabinti kadogo kaliko taka ubunge viti maalum lakini akapewa Upendo Peneza kanalazimisha kipelekwe keko ili kipate kiki
Unajitahidi kujifafanua...
Pole sana.
Tatizo lako umbea wako hauna viwango,ningekutafutia kazi shilawadu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ni magumu kwa mliokuwa mmezoea wizi,utapeli,ulaghai kwa kujipatia kipato bila kufanya kazi.
Huwezi kusikia mtu anayepata kipato chake kihalali analalamika awamu hii kwa kuwa hakuna kilichobadilika zaidi ya kubana na kuziba mianya na matundu ya Panya kwa kutumia titanium na sio kutumia mikate kama mlivyozoea mapamya buku.
Fanya kazi upate ujira wako stahiki.
Natamani kujua kazi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....

Na sheria inasemaje juu ya anaeanzisha kampeni ya kutaka Rais awe huyohuyo wa daima dawamu
 
Back
Top Bottom