Operation ng'oa Magufuli inakuja

Operation ng'oa Magufuli inakuja

Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Je AKIANZISHA OPERESHENI YA KUMFANYA MAGUFULI AWE RAIS WA MILELE utamweka kwenye kundi gani? mbavu zangu.............😉😉😵
 
Operesheni ...Operesheni ...Operesheni .....mmekuwa kama wodi ya wazazi!
MAJIZI mnatapatapa kila kukicha. Njooni na mkakati wenye tija na manufaa kwa Wananchi.
Kila siku mnatoa mishuzi tu,halafu mnajidai mnatutea sisi wanyonge. PATHETIC!
 
Kuna kampeni imeanza,inaitwa "MAGUFULI BAKI"
Hii inalenga kuwaaminisha watanzania kwamba hakuna mtu mwingine wakuiongoza Tanzania milele Magufuli.
Na kampeni hii inaonekana haivunji sheria yoyote ya nchi.
Wakitokea watu tofauti kuipinga hiyo kampeni wataonekana wanavunja sheria na wengi wataozea ndani.
HII TANZANIA HII
watu wanaamini kila linalotokea ni mpango wa Mungu.
Hawajui kwamba mengi yanayotokea ni yale tunayopanga na kuamua wenyewe kwa utashi tuliopewa.
MIMI NAANZISHA OPERATION NG'OA MAGUFULI TUONE KAMA KUNA SHERIA NIMEVUNJA
By mjinga mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo sasa ni UHAINI,subiri kibano maana unatafuta kiki za kijinga...!!!
 
Kama wewe Rose ndoa inekushinda, utaweza kumuondoa Rais Magufuli madarakani? Tehetehetehe. Kick zingine bana!
Hivi kumbe huyu binti ndoa imemshinda mkuu!?
Wanawake aina hii ni viumbe hatari sana katika jamii.
 
POLE XANA NDUGU YANGU. INAWEZEKANA UFUKUZWA KAZI KWA KUKUTWA UNACHETI CHA DARASA LA SABA.

ILA KWA TAARIFA YAKO MAGUFULI HATOKI MPAKA MAFISADI WOTE MNYOOOKEE.
HUKO KWA KWENYE CHAMA CHENU MUMEBAKIA WAKUMBATIA MAFISADI NA WALA RUSHWAAA. SISI HUKU MAFISADI NI MWIKOOOO.
KAENI KUWATETEA TU HAO MAFISADI. ILA MWISHO WAO UMEFIKAAA.
TUNAE JPM MUNGU KATUSHUSHIA TULIA TU MAENDELEO NDO HABARI YA MJINI.
MAJUNGU NA MATAMKO HEWA PELEKA KWENYE LICHAMA LAKO.

yeye mwenyewe fisadi kauza mali za umma izo nyumba kaenda kununua kivuko kibovu kwa bei ya kivuko kipya kaenda kununua ndege pasipo kushirikisha mfumo wa ununuaji na kulipa mwenyewe kama pesa ni zake na mwisho ma deal barabara uyajui wewe kaa kimya
 
Jamani nitapata wapi kadi ya ccm na utaratibu ni upi? nataka kujiunga na ccm kwani kuna deal liko mahali nataka nipiige kisha nitulie nile bata.
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Nakuapia waliomchagua in 20%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wasukuma ndo tuko karibu milioni 8 naturaly tu kwa kura zote hizo inapaswa tutawale milele

usiwavuruge wasukuma maana uyo mtu wako sio msukuma kalelewa tu na wasukuma kuongea kingereza haimaanishi wewe ni muingeresa wasukuma hawana akili za ivyo wasukuma ni wakarimu na wapole uyo fatilia mipakani ngara uko ndio kwao
 
HALI YA SIASA ZA CCM INATIA AIBU NCHI NA ITAANGAMIZA UTAIFA SI MUDA MREFU
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Na kumshawishi abaki na kukiuka masharti ya katiba ni kosa gani inakuwa?
 
Ulishindwa kumuondoa Upendo Furaha Peneza akaku overtake akapewa ubunge ndio utamuweza Magufuli.
Kwanza wewe ni muhaini na kwakuwa ni verify user na unajulikana nimefurahi kuwa umeanzisha uzi kwa id yako mwenyewe...kuanzisha operation ya kumuondoa mtu aliyewashinda kwenye box la kupigia kura huo ni uasi na uhaini..
Bila shaka ulishauriana vyema na wenzio kabla ya kuanzisha uzi huu....
Kwenda kule wewe! unamtisha mtu kwa kuweka mawazo yake hadharani? tena mtu verified user? nyie mnaokuja na kuleta mawazo ya kuvunja katiba kwa nini ndio msiitwe wahaini? maana kumuweka kiongozi zaidi ya muda uliowekwa kikatiba ndio makosa lakini kumuondoa kwa kufuata utaratibu sio makosa. Ndio maana hata bungeni kuna kipengele kinachosema wabunge wanaweza kuanzisha motion ya kutokuwa na imani na Rais na akaondolewa madarakani na kurudi Chato kulima ulezi.
Na ni kwa vile nchi hii imekaa kwa kujipendekeza pendekeza tuu, vinginevyo kura hiyo ingeshapigwa siku nyingi kwani aliyepo anavunja sana katiba.
 
Back
Top Bottom