Open Letter: Rais Samia, TRA isiyo na Support yako, ni Kifo cha Taifa

Nashukuru sana kwa barua yako, ni vizuri akajua chanzo cha serikali kuchukua hatua ilizochukua na pili afuatilie historia ya nchi, kuhusu ulipaji kodi, na ukwepaji wa kumbukumbu, na pia kama anaona wa Tz uwezo huo hawana wa kujua jinsi ya kukabiliana na suala hili is kodi aombe ushauri wa pwc, au nchi kama UK , hii mifumo wanayoweka au walioweka wenzetu ndio inayosaidia, ukusanyaji wa kodi, sasa sisi tumechelewa, badala ya kukumbia kulifikia lengo husika tuna rudi nyuma, halafu tutakuja kulaumiana tena , kwa kudai kodi zaidi ya miaka 5.
Na viongozi wetu wakiwa wanasikiliza hadithi za wafanya biashara iwe kodi au wafanyakazi wa kigeni awaambie tu , malalamiko yenu nimesikia nitaweza washauri wangu , ili ajue na ya upande wa pili yakoje.
Sasa inawezekana amemtoa Bure aliyekuwa commissioner general wa tra.

What's the maximum penalty for tax evasion in the UK? The penalty for tax evasion can be anything up to 200% of the tax due and can even result in jail time. For example, evasion of income tax can result in 6 months in prison or a fine up to £5,000, with a maximum sentence of seven years or an unlimited fine.

tax avoidance—An action taken to lessen tax liability and maximize after-tax income.

tax evasion—The failure to pay or a deliberate underpayment of taxes. underground economy—Money-making activities that people don't report to the government, including both illegal and legal activities.
 
Akili za watanzania waachie wenyewe ipe wakati miezi michache mbele utaona mada humu za watu kulalamika mishahara imechelewa na hiyo miradi kama inategemea mikopo kuna phase zitasimama kwa sababu soon tutakuwa atuaminiki tena na wakopeshaji.

Wala sio uganga hilo jambo linakuja soon, mama anadhani maswala ya kodi ni mzaha mzaha, wa kusikiliza story za kwenye social media.
 
Kuanzia Leo sitawasema vibaya Polisi kumbe wana akili kuliko TRA. Polisi wanaambiwa mara kwa mara hata majukwaani, acheni kubambikia watu kesi na kukamata kwa dhuluma, mnakula sana rushwa kwa Wananchi. Lakini sijawahi kusikia Polisi anajitokeza kusema "mnatusema sana hatutakamata tena Majambazi". Lakini hawa wapenda sifa za kuambiwa wamevuka lengo kwenye makaratasi, wameguswa tu wanasusa kazi.
 
Yaani wewe utoporo hasa.
Nakala hupekekwa juu ili wachini asipotatua unaenda juu ulikopeleka nakala ili kumuuliza wa chini kwanini hajafanya?

Umemwandikia Rais, nakala makamu wake na waziri mkuu, Rais asipofuata ushauri wako wamfanyeje?
 
Biashara ni hesabu ya kilichoingia, kilichopo dukani /stoo na kinachouzwa.
Hesabu ipo wazi mtu asipotoa stakabadhi ya manunuzi,TRA wataangalia stock na nini mtu huyo aliagiza ili waoanishe na kodi.
TRA kwa sasa wajikite na stock za wafanyabiashara na nini wanaagiza kina thamani gani /kinauzwaje ikiwezekana kutoa bei elekezi kwa wananchi.
 
Miaka mitano ya Magufuli atujaona IMF wala WB kuja kukutana na wizara ya fedha kisa wasiwasi wa nchi kuweza kulipa madeni yake kutokana na makusanyo madogo ya kodi kama ilivyozoeleka zama za JK. If anything walikuwa hawana shida kumkopesha.

Huko baadae mambo yakienda mrama wasitafute mchawi mwingine Magufuli sijui alikopa sana, la hasha matatizo haya wakubali tu huko mbele wameyatengeneza wao.
 
Yani crude method ya aina hii? Really? Badala ya kuenforce risiti ili upate taarifa kila kitu at a go Online unawaza kurudi nyuma. Duh

Hii method sidhan kama hata ishawahi tumika popote 😄. Na tukifika hapo badala ya Taifa kufa, litakuwa lishaoza
 
... kodi itozwe lakini isiwe kodi ya kukomoa wananchi na wafanyabiashara kwa ujumla! Hiyo ndiyo hoja ya msingi.
Utatozaje kodi kwa mtu asiyeweka kumbukumbu za manunuzi, mauzo, n.k , inabidi umbembeleze na kuchukua siku au week ya kazi mkibembelezana badala ya saa 1 au nusu saa.
 
Andika barua nyingine kwenda kwa Mkuu wa TRA, ukimsihi kama hawezi na hana weledi wa kukusanya kodi apishe watakaoweza....asing'ang'anie na kubaki ananung'unuka kama hawezi.
 
Tatizo naona ni kwamba wafanyabiashara wengi kutotumia wahasibu katika kutunza na kuandaa nyaraka mbalimbali ambazo ndio msingi wa kukadiriwa kodi. Muajiri wahasibu ambao ni qualified hutakaa ukwaruzane na mamlaka za kukusanya kodi.
 
That is gross misconception ya kauli ya Rais! Rais alitamka bayana kwamba Mapato tunayahitaji lakini mapato ya dhuluma HAPANA!!! Kuenforce matumizi ya EFD ni sawa kwa kuwa inatokana na mauzo halali, kumdai mtu kodi ya miaka 5 nyuma wakati ana taxi clearance ni dhuluma, kufunga akauntinza watu baada ya kuzikwangua ni haramu, kodi kukusanywa na Takukuru kwa bunduki na kubambikiza kesi za utakatishaji pesa ni dhuluma! Hayo ndio SASHA anayoyakataa, waende wakakusanye kodi kwa weledi, wakimuhujuku Rais WATAZINGULIWA maana wafanyakazi wa TRA tunawajua, ni majizi yaliyohalalishwa!
 
Thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…