Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu