Oparesheni 255 yateketeza CCM Musoma Mjini bila huruma yoyote, imezikwa rasmi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,741
218,330
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

Screenshot_2023-09-03-18-28-43-1.png
Screenshot_2023-09-03-18-28-43-1.png
Screenshot_2023-09-03-18-39-00-1.png
Screenshot_2023-09-03-18-39-06-1.png
Screenshot_2023-09-03-18-39-11-1.png
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu
Duh!!!.!
Eryth unatutesa...balaa
Chongolo vp?????!!@
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Kiu ya wananchi kutaka mabafiliko chanya inaongezeka kila uchao.

Naona mikutano ya CDM hairipotiwi na mainstream media.

Bado Nape amekaza? Je inamsaidia nani kufanya cencorship
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Naliona nyoming hapo, duh!
 
Tulionya mapema sana lakini tukapuuzwa , Tulisema kwamba Chadema ikipewa nafasi ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara , ccm haina pa kutokea , hii ni kwa sababu ccm ndio chama kilicholeta kila dhiki , shida , njaa , ugumu wa maisha , ukosefu wa dola , tozo na kila aina ya uchafu kwenye nchi hii , na sasa wananchi wote wamejua kila kitu .

Akizungumza Mjini Musoma Freeman Mbowe amesema kwamba CHADEMA HAITAKUBALI UCHAGUZI USIMAMIWE NA TAMISEMI , INATAKA USIMAMIWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI , kwahiyo kudhani Tamisemi ikiongozwa na mkwe wa Mwenyekiti wa ccm ndio tiketi ya kuiba uchaguzi ni sawa na kujidanganya .

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa kwa uchache tu

View attachment 2737814View attachment 2737814View attachment 2737815View attachment 2737816View attachment 2737817
Hakuna namna sasa zaidi ya sasa CCM kutema bungo. Na ni lazima nyani ateme bungo.
 
Duh!!!.!
Eryth unatutesa...balaa
Chongolo vp?????!!@
Chongolo atatokea wapi!? Kwani unafikiri watazijibu vipi hoja za chadema wkt ni kweli serikali ya chama Chao imeuza nchi Kwa waarabu na mkataba umedakwa live?? Ni sawa na kufumania dume likichepuka na mkeo kitandani kwako,mke Hana Cha kujitetea na hata ndg zake hawawezi kumtetea!
 
Back
Top Bottom