Onyo: Zanzibar inapaswa kuacha ubaguzi dhidi ya ndugu zao watanganyika, itawagharimu pakubwa

Onyo: Zanzibar inapaswa kuacha ubaguzi dhidi ya ndugu zao watanganyika, itawagharimu pakubwa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Kwanza kabisa sababu kuu za harakati za kudai mabadiliko hazihusiani na muungano hata kidogo, ni za kisiasa tu.

Hata hivyo kumekuwa na shutuma za ubaguzi zinazofanywa na wazanzabar kwa watanganyika hali hii inaweza kuwagharimu sana kwa ubaguzi wanao uanzisha na kupanua harakati za mabadiliko kufikia viwango vibaya kutoka kisiasa hadi kimuungano.

Natoa onyo kwa wazanzibar kujitafakari sana na ubaguzi usio na msingi wowote utawagharimu sana waukomeshe na kuwa kitu kimoja kama waanzilishi wetu wa muungano huu.
 
Kwanza kabisa sababu kuu za harakati za kudai mabadiliko hazihusiani na muungano hata kidogo, ni za kisiasa tu.

hata hivyo kumekuwa na shutuma za ubaguzi zinazofanywa na wazanzabar kwa watanganyika hali hii inaweza kuwagharimu sana kwa ubaguzi wanao uanzisha na kupanua harakati za mabadiliko kufikia viwango vibaya kutoka kisiasa hadi kimuungano.


Natoa onyo kwa wazanzibar kujitafakari sana na ubaguzi usio na msingi wowote utawagharimu sana waukomeshe na kuwa kitu kimoja kama waanzilishi wetu wa muungano huu.
Kumbe wewe ni mpuuzi, hayo inayoyafanya wewe Leo ZNZ yamenza Tangu 88, mpaka 2020. Sasa sijui kitu gani unachokifanya wao hawakijui. Tatizo liko ni mdomo wako. Mmeletewa ma zombie 20 mnalialia dujia nzima. Sasa hiyo December 9 jichanganyeni kinakija kikosi kizima.. Huko.miongoni mwako.ni wateja, wale I, wavuta Bangi sasa jiandae!
 
Kumbe wewe ni mpuuzi, hayo inayoyafanya wewe Leo ZNZ yamenza Tangu 88, mpaka 2020. Sasa sijui kitu gani unachokifanya wao hawakijui. Tatizo liko ni mdomo wako. Mmeletewa ma zombie 20 mnalialia dujia nzima. Sasa hiyo December 9 jichanganyeni kinakija kikosi kizima.. Huko.miongoni mwako.ni wateja, wale I, wavuta Bangi sasa jiandae!
dogo hebu acha kunichukulia mimi kama vilaza wenzako, hiyo 88 ulikiwepo, hebu acha kuongea kama mpumbavu, ndio mtu anae unga mkono mauwaji ni mpumbavu, mtu mpumbavu ndio anitishe mimi ni sawa na mwehu.
 
Siasa za ujamaa na muungano ndio failures kubwa za awamu ya kwanza.
 
Kwanza kabisa sababu kuu za harakati za kudai mabadiliko hazihusiani na muungano hata kidogo, ni za kisiasa tu.

hata hivyo kumekuwa na shutuma za ubaguzi zinazofanywa na wazanzabar kwa watanganyika hali hii inaweza kuwagharimu sana kwa ubaguzi wanao uanzisha na kupanua harakati za mabadiliko kufikia viwango vibaya kutoka kisiasa hadi kimuungano.


Natoa onyo kwa wazanzibar kujitafakari sana na ubaguzi usio na msingi wowote utawagharimu sana waukomeshe na kuwa kitu kimoja kama waanzilishi wetu wa muungano huu.
Wacenge kama nyinyi si mtafutwe mkavundikwe na niffer muive tu!
 
Siasa za ujamaa na muungano ndio failures kubwa za awamu ya kwanza.
Muungano ilikua kuliokoa kanisa, waislam wa tanganyika wasipate base baada ya kubanwa ndani, maana kipindi hicho wakristo hawakuwa wengi,sasa eamws na Zanzibar wange-pump hela na waislam kuhubiri dini tanganyika,basi mbeya ingekua kama pwani
 
dogo hebu acha kunichukulia mimi kama vilaza wenzako, hiyo 88 ulikiwepo, hebu acha kuongea kama mpumbavu, ndio mtu anae unga mkono mauwaji ni mpumbavu, mtu mpumbavu ndio anitishe mimi ni sawa na mwehu.
Kumbe mpuuzi sasa wewe Una uwezo WA kuwatisha wa Zenj. Hata robot ya waliopitia hujayafika.. nyinyi mmguswa matako na mnalalamika, Nakuongeza doI nyengine yaulize waliyoyapata 1972 baada ya kifo cha karume... Sasa pimbi kama wewe ndiyo ukawatishe? Nimezifuatilia post zako nyingi Sana na Inaonyesha huwa unaziandika ukiwa umekalia rungu kwaninzinakuwa na mihemko mingi....
 
Kumbe mpuuzi sasa wewe Una uwezo WA kuwatisha wa Zenj. Hata robot ya waliopitia hujayafika.. nyinyi mmguswa matako na mnalalamika, Nakuongeza doI nyengine yaulize waliyoyapata 1972 baada ya kifo cha karume... Sasa pimbi kama wewe ndiyo ukawatishe? Nimezifuatilia post zako nyingi Sana na Inaonyesha huwa unaziandika ukiwa umekalia rungu kwaninzinakuwa na mihemko mingi....
Tulipofika km Taifa tunahitaji busara zaidi, sio chuki, visasi na hasira
 
Kwanza kabisa sababu kuu za harakati za kudai mabadiliko hazihusiani na muungano hata kidogo, ni za kisiasa tu.

Hata hivyo kumekuwa na shutuma za ubaguzi zinazofanywa na wazanzabar kwa watanganyika hali hii inaweza kuwagharimu sana kwa ubaguzi wanao uanzisha na kupanua harakati za mabadiliko kufikia viwango vibaya kutoka kisiasa hadi kimuungano.

Natoa onyo kwa wazanzibar kujitafakari sana na ubaguzi usio na msingi wowote utawagharimu sana waukomeshe na kuwa kitu kimoja kama waanzilishi wetu wa muungano huu.
Mnafiki mkubwa wewe. Hivi ni nani haswa wabaguzi?!!!
 
Wazanzibar watch your steps,

Mtafanyiwa walichofanyiwa wayahudi Ujerumani.
 
ubaguzi gani wanaofanya Zanzibar? mimi nawaona wametulia zao kimya ila watanganyika ndio kila sikukurusha maneno ya kibaguzi
 
Back
Top Bottom