Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Napenda kuwapa tahadhali wanaofanya haya......
1. Kufanya mapenzi bila kinga na hamjapima ni hatari kwa afya yako....
2. Kutopenda kula ni hatari kwa afya yako...
3. Kutumia pesa nyingi kwenye starehe ni hatari kwa uchumi wako....
4. Kutumia lugha za matusi JF ni hatari kwa u-member wako(Bann itakuhusu)
5. Kutokwenda kanisani/msikitini hata mara moja kwa mwezi ni hatari kwa roho yako
6. Kutomridhisha mkeo faragha ni hatari kwa ndoa yako.
7...........
1. Kufanya mapenzi bila kinga na hamjapima ni hatari kwa afya yako....
2. Kutopenda kula ni hatari kwa afya yako...
3. Kutumia pesa nyingi kwenye starehe ni hatari kwa uchumi wako....
4. Kutumia lugha za matusi JF ni hatari kwa u-member wako(Bann itakuhusu)
5. Kutokwenda kanisani/msikitini hata mara moja kwa mwezi ni hatari kwa roho yako
6. Kutomridhisha mkeo faragha ni hatari kwa ndoa yako.
7...........