kwani toka lini JF imegeuka kuwa duka la kuuza bidhaa kama SIMU????, pili pili ule wewe kelele utupigie sisi , kwanini hatufati malengo ya JF????? ndo maana "mjini shule kijijini tuisheni". ni hayo tu kwa leo.
kwikwikwikwikwiiiii....ukweli siku zote unauma .....ila nashukuru kwa kuguswa na ujumbe wangu , natumai umejifunza na utawasaidia watu wakwenu kwimba.funga bakuli lako,
m2 mwnyw upo Kwimba sh typ
nashauri jf ktk forum ya matangazo na biashara waandike trade at your own risk ili mwisho wa siku mtu akipigwa huko asije kusema hakutaadharishwa.nimejifunza jambo hapa kumbe hata some of jf members ni wapigaji/wapigwaji!!.duh.
unamainisha uongozi wa jf inawafahamu?.hii mpya sasa.Wapigaji wanajulikana wanafumbiwa macho
Mie kwanza huwa nashangaa mtu unanunuaje simu kwa mtu wakati maduka yapo!
Ahsante mkuu naamini utakuwa naa duka la simu either la kwako ama unafanya kazi humo. na hapa umeamua kujitangaza kwa ujanja. Ila utuhakikishie kuwa duka lako ni la simu orijino kwa sababu ishu sio tu simu mpya bali pia km ni orijino au la ni jambo la muhimu,,,,,,,,,,,,,,,,,,,naomba uniambie duka lako liko sehemu gani. Ila uwe muwazi kwa sababu ukiniuzia simu kimeo naamini sitapata mawazo ya ghafla km uliyopata wewe na kumwachia huyo jamaa
You know what am saying mem!
Sinunui simu dukani, simu zangu zote mazabe.
Sent from my BlackBerry Q10 using JamiiForums
Ndiyo mkuu watu wa JF tunaheshimiana sana kwa kuwa na uelewa mkubwa na imani hiyo imekwenda kwamba siyo rahisi kumpiga changa la macho mwenzako maana nj kumfanya mjinga.Kuwasaidia wengine, mtaje. Sisi tutaangalia IDs zake zote na kuziunganisha.
Ikibidi, tupe # yake ya simu tutamwanika hadi majina halisi. Threads zake zote zitafutwa na ID itawekewa status ya TAPELI.
Thanks
Mimi nimenunua simu haina hata mwezi ila naiuza nataka kuongezea ninunue i phone