ONYO kwa wanaonunua simu humu

Biashara ni katibya willing buyer ba willing seller...kama mmoja akighairi hakuna biadhara hapo.

Ni juu ya mnunuzi kujiridhisha na bidhaa anayotaka kununua kama hajaridhika hanunui akinunua amerishika na kama akikuta bidhaa ssio alivotegemea basi ndio risk zenyewe iyo otherwise angeenda kununua mpya dukani na warranty.

Uliona wapi BB ikauzwa laki moja halafu eti utegemee iwe kama mpya?

Kwa maoni yangu ni kwamba ukiamua kudeal na vitu used ukubali pia matokeo na uwr makini.

NA HAINA MAANA KUWA WAUZAJI WA HAPA ETI NI MATAPELI...nimeshawahi kununua iPhone umu na inadunda hadi leo.

Mi nimeona Gerezani Kariakoo BB mpya elfu 50, iPhad mpyaa laki 1 fasta fasta hiyo
 
Kuwasaidia wengine, mtaje. Sisi tutaangalia IDs zake zote na kuziunganisha.

Ikibidi, tupe # yake ya simu tutamwanika hadi majina halisi. Threads zake zote zitafutwa na ID itawekewa status ya TAPELI.

Thanks

Hii itatusaidia kupunguza wasio wafanya biashara. Kwa mfanya biashara wa Moja kwa Moja hawezi kuharibu soko lake kwa bidhaa moja.
 
mkuu Invisible matusi na kumdharirisha mtu hadhari si Vs forum rules .. moderator wa hili jukwaa ni muda wake kufanya yake
nshavunjiwa heshima mm

kwa hiyo?
Sasa ulitaka uachiwe utetee huo utapeli?na wewe nani mpaka uombee wengine ban?
Au hyo 'expert sr' ndo inakupa jeuri ni suala la muda tu,sote 2naelekea hukohko mkuu,
lakin ukweli ni mchungu kumeza na mtamu kutema so hutomtisha yeyote kuzungumza ukweli
 
Last edited by a moderator:
Matapeli kivipi?
Kama umeamua kununua kitu kilichotumika, kwanini usiangalie risk unayoikabili? Na ukikutana na tapeli, haina maana kuwa kila mtu anayefanya biashara hiyo basi ni tapeli. Kwa mfano nikikuuzia simu used au mpya ambayo ni kimeo, lazima baadae utaanzisha thread itayoeleza kuwa umetapeliwa na kobello, na zingekuwa nyingi humu JF. Mimi ndiyo leo naona kwa mara ya kwanza ... mabbe mbili, sina uhakika.
Kwa hiyo usilazimishe kuwa hilo ni jambo linalotokea mara nyingi. Na mara nyingi kama unaleta simu au colognes .. etc, unaagizwa kwanza na ukipata unatuma, kuna watu wengi tu wanaulizia vitu mbalimbali, sijawahi kumuuzia mtu kitu humu ndani zaidi ya laptop na jamaa ananiulizia mpaka leo kama tunaweza kufanya biashara, other than that ...... usidhani kuna kufaidika sana, almost negligible.

kinachotakiwa muuzaji inabidi ajue bidhaa anayoingiza sokoni na kuainisha kama ina tatizo hili na hili ili mnunuaji aridhike kununua,
sasa unaposema bidhaa haina tatizo lolote na imetumika wiki moja,mnunuzi akapendezwa kuja kuiona bidhaa anakuta ina matatizo lukuki ni utapeli tayari kwani unakuwa umepoteza muda na nguvu ya mtu!
Kama jamaa katoka sinza mpaka ubungo alafu anakuta hali hiyo kama mimi nakupiga makofi na polisi nakupeleka,
je angefanikiwa kuuza alafu tatizo linajitokeza nyumbani?si ndo kashaingia hasara!
Ole wenu munaotetea mambo hayo humu ndani
 
kinachotakiwa muuzaji inabidi ajue bidhaa anayoingiza sokoni na kuainisha kama ina tatizo hili na hili ili mnunuaji aridhike kununua,
sasa unaposema bidhaa haina tatizo lolote na imetumika wiki moja,mnunuzi akapendezwa kuja kuiona bidhaa anakuta ina matatizo lukuki ni utapeli tayari kwani unakuwa umepoteza muda na nguvu ya mtu!
Kama jamaa katoka sinza mpaka ubungo alafu anakuta hali hiyo kama mimi nakupiga makofi na polisi nakupeleka,
je angefanikiwa kuuza alafu tatizo linajitokeza nyumbani?si ndo kashaingia hasara!
Ole wenu munaotetea mambo hayo humu ndani
Sasa si angempiga makofi basi!
Au angempeleka polisi, au asingeenda kabisa kununua. Yaani mtu utoe number yako au ya ndugu yako mtandaoni kumtapeli mtu? Thats absurd.
Ndiyo hayohayo ya kununua simu kutoka kwa vibaka halafu unakuja kulalamika umetapeliwa!! .. just don't do it!!
 
mwenyewe yupo humuhumu na jana kaweka tangazo jipya la simu,
hivyo nataka aje mwenyewe acomfirm kama hatocomment hapa ntamtaja kweupeee

Tahadhari hii ni muhimu kuliko jina, anaweza kubadili ID na maisha yakaendelea.
 
Sasa si angempiga makofi basi!
Au angempeleka polisi, au asingeenda kabisa kununua. Yaani mtu utoe number yako au ya ndugu yako mtandaoni kumtapeli mtu? Thats absurd.
Ndiyo hayohayo ya kununua simu kutoka kwa vibaka halafu unakuja kulalamika umetapeliwa!! .. just don't do it!!

mkuu jifikirishe kidogo,
sasa unavyosema asingeenda kununua yeye alijua kama kimeo kabla hajaiona?au angeoteshwa?
Unavyosema kuhusu vibaka,ina maana JF kuna vibaka na unathibitisha hilo,maana wanaouza vimeo wapo humuhumu
 
kuna washikaji wanauza vitu vya ukweli na uhakika ila ni kawaida msafara wa mamba kuwa na kenge wachache...
Nlishawahi kununua ideos kwa Ghian Carter na ilikuwa kama mpya jamaa ni muaminifu na alinipa accessories za msingi tena original...long live brother
#* kuna huyu mtu waukweli sili naye aliniuzia nokia c7 bomba kweli na inadunda mzigo bila shida hata mojaa...u too brother long live
......
I remember nlimuuzia simu ''nokia e71'' jamaa mmoja hivi Uzuri... Nlimpa full contacts kama ikimzingua anicheki..n' it was cool..
HIVI INAKUWAJE MTU UNAKULA HELA ULIYOMDHULUMU AU KUMUIBIA MTU "MOYO UNAKUWA SAWA KABISAAA!!!!???)
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa uzi huu muhmu...
Nilikutana na mtu kama huyo, baada ya kutangaza anauza BB 9780, tulipokutana akaja na BB 9700 na akajitahidi kuni convince ya kuwa hii ndio BB 9780, Bahati nzuri nami ni mtaalaam kidogo wa hayo. Mshikaji aliona aibu sana.. na kutokomea.
 
Asante kwa uzi huu muhmu...
Nilikutana na mtu kama huyo, baada ya kutangaza anauza BB 9780, tulipokutana akaja na BB 9700 na akajitahidi kuni convince ya kuwa hii ndio BB 9780, Bahati nzuri nami ni mtaalaam kidogo wa hayo. Mshikaji aliona aibu sana.. na kutokomea.

thanks mkuu,tatizo wenyewe wamekuwa wakali balaa kina nwanju
 
tapeli ana sura mbili muuzaji anaweza kuwa tapeli na mnunuzi pia anaweza kuwa tapeli, japokuwa huu uzi naona umebezi upande mmoja tu kuwa muuzaji ndio huwa tapeli. hapa ni kutakiwa tu kuwa makini, kwa muuzaji asije kukutana na tapeli akatapeliwa bidhaa yake (simu n.k) na mnunuzi asije akatapeliwa pesa zake.

sababu hapa muhusika mwingine hajatoa maelezo yake na inawezekana hatakuja toa maelezo yake sababu ameshahukumiwa bila kusikilizwa ni ngumu kufahamu ni yupi alikuwa anataka kumuingiza mwenzake mjini. Invisible inawezekana pia kabisaa labda Lidaku ndio alitaka kumuinigiza mjini huyo mtu ila tu pia akaamua kuja kumuwahi huku jf na kumuanzishia thread. Hapa naona kama mtu mwingine akija tena na uzi wake "kuweni makini na wateja/wanunuzi wa simu humu" je, utakuwa sticked na wenyewe?

kwa muuzaji na mnunuzi
  1. kutafuta sehemu nzuri ya wazi ambayo haina mashaka ni muhimu,
  2. epuka giza kama hakuna ulazima hiyo biashara iwe usiku mwambie siku nyingine mchana/asubuhi/jioni
  3. kuwa makini na pesa unazopokea zihakiki vizuri zinaweza kuwa bandia
  4. tigo pesa mpesa siku hizi ni magumashi, hakikisha pesa imeingia na kaitoe haraka sana
  5. jiridhishe bidhaa inafanya kazi kweli na kama kuna uwezekano wa waranty kwa muuzaji,
  6. bidhaa/simu yako isitoke machoni mwako kiaina na hujapokea pesa, kuwa makini utalizwa kwa sek 0 tu
 
Ni noma, mie juzi kati hapa nimenunua Iphone laki moja, she said ni origin kumbe ni mchina, nasikia zinauzwa kwa mafungu hapo Kariakoo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom