Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,919
Daima naamini hamna watu wanaokutana kwenye hizi sosho nertworking wakafikishana mbali
Kwanza naona ni vigumu kumantain kule kuheshimiana kati yenu kutokana na mazingira mliyokutana
Love doesnt ask why..hatukatai ila sio mbaya kujiuliza swali la kizembe kama hili; mtaani,kazini,chuoni na jamii zoooote zinamzunguka hakuona wa kumfaa mpaka alipokuona wewe kwenye blog!!!!!
Sanasana either she ataliwa MWILI au he aliwe MALI
Correct me with concrete evidence if am wrong.
Usisahau kuwa huko sokoni,harusini au makazini ni sawa na hapa mtandaoni
Kuna mambo hayakwepeki kabisa kwenye muingiliano wajamii kama huu
Nakumbuka hata wakati wa simu za mikononi kuingia kulikuwa na vitisho kama hivi
Suala la mahusiano linaweza kuanza popote pale,cha msingi ni umakini wa wahusika
Kama ni tapeli unaweza kukutana nae hata kanisani au msikitini
Kuna memba mmoja hapa aliwahi kuniambia kuwa jamaa yake alikuwa ni tapeli na hawakukutana mtandaoni
Suala hapa sio mahali kwani unaweza kukutana na nyoka hata sebuleni kwako
Suala hapa ni kuwa makini na hii kitu kama unatafuta mwenza
Mtu makini anaweza kupatikana popote and so mtu wa hovyo pia!