Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,193
- Thread starter
- #101
Hii ni nini?
^^
Bora umenisaidia kuuliza, nimejitahidi kusoma ila sijaelewa! Wapi Evelyn Salt anisaidie kuhusu mchango wa lusugo?
^^
Last edited by a moderator:
Hii ni nini?
dah... kakaangu nae bana alikuwa mdukuzi mno! hata mi tu japo nilikuwa mdogo lakini nilikuwa namsom namba zake!^^
Ha ha Excel kuna usemi wa Heaven on Earth anasema "In life expect the unexpected"
Ilibidi Kaka hapo akumbuke hilo.
^^
Hii ni nini?
sorry????upo sawa lakini mkuu?kuzimu mama kwa wanyonya mb.o.o
^^
Bora umenisaidia kuuliza, nimejitahidi kusoma ila sijaelewa! Wapi Evelyn Salt anisaidie kuhusu mchango wa lusugo?
^^
sorry????upo sawa lakini mkuu?
Huyo lusugo hana tofauti na nabii Tito wa kichina
mwinjilist gani ana access ya jukwaa la wakubwa hana access na jukwaa la dini?
anatuletea ukakasi tu hapa hana lolote...
Khaaaaa kweli huyo muuaji na wapo wengine hatuwajui. Unajua hii mitandao ni kama bahari , humu kuna dizaini zote za watu wenye shughuli mbali mbali. Wengine wapo kikazi zaidi, na vile vile walio wema wapo so ni kama ulivyosema uangalifu ni jambo la busara. Duh bora enzi zetu hii mitandao wala cell phone hazikuwepo, mtu anakufuatilia mpaka kisimani lol. Ilikua ukiletewa barua kuijibu ni mpaka baada ya miezi kadhaaa hahahahahahahaha na bado jibu linakua ngoja nifikirie.^^
Ablessed tupo pamoja, kuna mtu mmoja aliwahi kuja humu JF, anaomba mke, kwa madai kuwa mkewe amefariki, kweli tukatoa pole na kuombea dua/sala apate wa kutoka kwa Mungu, miezi miwili ikaja mada ya mdada ambayo ilifutwa ikiwa na post 20 hivi, ikitoa tahadhari kumwepuka huyo mwanaume kwa madai anaambukiza VVU/UKIMWI wadada makusudi na wala hakufiwa na mke, na mleta mada ile akatoa shuhuda kuwa anamfahamu vema.
Sasa, najiuliza, mitandao inahitaji haraka gani?
Cc: Heaven on Earth mimi49 Dinazarde
^^
umejuaje sina access ya jukwaa la dini?
yesu hakuja kwa walio safi ila kwa wenye dhambi.... mtu mzima haitaji daktari ila aliye mgonjwa
mi nimecomment kama wewe tuWe bana kama unataka kutupa neno weka thread
si thread za watu unakuja kuzidandia na mistari mireeefu hata kuquote tunashindwa
aahhh unantaftia dhambi tu
mi nimecomment kama wewe tu
Aaahhh wapi wewe nabii wa kichina....
hebu hamia huku chini tuongee mtumishi!!!
ha ha ha ha siji
nashangaa watu wamejawa na hasira nami wakati nime quote ushuhuda wa mtu
teh teh teh
naomba tusitafutane undani!!niko sawa hata ukinipa ntakuweka sawa
^^
Ha ha Excel kuna usemi wa Heaven on Earth anasema "In life expect the unexpected"
Ilibidi Kaka hapo akumbuke hilo.
^^
Mh!
Sasa nilikuwa nampango wa kutafuta ka dem ka valentini
So?
Nichape lapa au niendelee?