Online relationships don't run faster than your legs !

Online relationships don't run faster than your legs !

^^
Naunga mkono, kwa baadhi ya watu, uongo ni maisha.
Hata kama umempenda hakikisha hakuachiii jeraha la moyo kwa haraka zako.
Take it slow
^^
hapa napo pagumu, ukipenda kweli huwezi enda taratibu
na mkiachana jeraha lazima ubaki nalo
 
Last edited by a moderator:
^^
Kuna mambo makuu mawili uliyafanya yanayokubaliana na mada yangu.
Kwanza, uliomba Mungu
Pili, ulianza kwa kusita/kukataa mwisho ulipojiridhisha ukakubali.
HIVYO NDIVYO INATAKIWA,
Wengi wanapoingia ktk mitandao hawatazami undani wa wao wanataka nini bali huishia sifa za nje tu, ziki match tu anakuambia huyu ndiye! Na mtego huo umeliza wengi.
Wewe, uliwasiliana na mawazo yako ya kina ndipo ukafikia hitimisho kuwa ndiye,, hii ndiyo naiita 'Don't run faster than your legs'.. Usikimbie upesi kuliko uwezo wa miguu yako.
Tulia... Tafakari... Jiridhishe mwisho kubali kuyabeba mengineyo kwa hiari sio uishi kwa majonzi ya moyo eti tu ulikurupuka.
Mungu akupe nguvu ktk ndoa yako Dillish wa kwetu .
apasome neno1
^^

Mkuu nashukuru nimesoma na kuelewa. Na hivyo nadhani kama nilivyotangulia kusema hapo nyuma mapenzi yoyote hayapaswi kukurupuka hasa kama unataka kumaanisha katika huo uhusiano.

Na pia kuna vigezo vingi kila moja amejiwekea iwe mwonekano wa nje, tabia lakini pia kiimani. Sasa hapo ni mtu kujiridhisha mwenyewe na hiyo haijalishi huyo mtu mmekutana wapi.

Tatizo linakuja kwa mtu anayekurupuka, mtu hamjawahi onana anakupiga mzinga na wewe kama zoba unatoa, hapo lazima ukatwe kidizaini fulani
 
Last edited by a moderator:
^^
Kuna mambo makuu mawili uliyafanya yanayokubaliana na mada yangu.
Kwanza, uliomba Mungu
Pili, ulianza kwa kusita/kukataa mwisho ulipojiridhisha ukakubali.
HIVYO NDIVYO INATAKIWA,
Wengi wanapoingia ktk mitandao hawatazami undani wa wao wanataka nini bali huishia sifa za nje tu, ziki match tu anakuambia huyu ndiye! Na mtego huo umeliza wengi.
Wewe, uliwasiliana na mawazo yako ya kina ndipo ukafikia hitimisho kuwa ndiye,, hii ndiyo naiita 'Don't run faster than your legs'.. Usikimbie upesi kuliko uwezo wa miguu yako.
Tulia... Tafakari... Jiridhishe mwisho kubali kuyabeba mengineyo kwa hiari sio uishi kwa majonzi ya moyo eti tu ulikurupuka.
Mungu akupe nguvu ktk ndoa yako Dillish wa kwetu .
apasome neno1
^^

Sio mtandaoni pekee, sehemu yoyote ile hatuwezi kusema kujenga uhusiano nje ya mtandao hakuna matapeli itakuwa ni uongo.
 
Last edited by a moderator:
Usisahau kuwa huko sokoni,harusini au makazini ni sawa na hapa mtandaoni

Kuna mambo hayakwepeki kabisa kwenye muingiliano wajamii kama huu

Nakumbuka hata wakati wa simu za mikononi kuingia kulikuwa na vitisho kama hivi

Suala la mahusiano linaweza kuanza popote pale,cha msingi ni umakini wa wahusika

Kama ni tapeli unaweza kukutana nae hata kanisani au msikitini

Kuna memba mmoja hapa aliwahi kuniambia kuwa jamaa yake alikuwa ni tapeli na hawakukutana mtandaoni

Suala hapa sio mahali kwani unaweza kukutana na nyoka hata sebuleni kwako

Suala hapa ni kuwa makini na hii kitu kama unatafuta mwenza

Mtu makini anaweza kupatikana popote and so mtu wa hovyo pia!
Eiyer, i beg to differ kidogo, mtandaoni, bar, harusini, kanisani, msikitini, club yote ni mazingira unayoweza kutana na life partner lakini mazingira hayo yamewabeba watu wenye character tofauti kabisa. Kwahiyo ni vigumu au pengine ni nadra sana mtu mwenye tabia fulani kumkuta kwenye mazingira flani

Na sikatai matapeli wapo kila sehem lakini nadhani kuna mazingira ambayo chance are high than others
 
Last edited by a moderator:
Eiyer, i beg to differ kidogo, mtandaoni, bar, harusini, kanisani, msikitini, club yote ni mazingira unayoweza kutana na life partner lakini mazingira hayo yamewabeba watu wenye character tofauti kabisa. Kwahiyo ni vigumu au pengine ni nadra sana mtu mwenye tabia fulani kumkuta kwenye mazingira flani

Na sikatai matapeli wapo kila sehem lakini nadhani kuna mazingira ambayo chance are high than others

You just contradicting yourself!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom