Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Wana-CHADEMA mliomo humu, Karibuni katika Thread hii maalumu kwa ajili ya mambo muhimu ambayo tunataka myajibu.
Tunaanza na CHADEMA na tutawapima kutokana na maelezo yenu. Then tutaviita pia vyama vingine katika thread tofauti. So this is KITI MOTO!
Tunajua Mh. Mbowe, Dr. Slaa, Zitto, Mwanyika, nk wote mko humu, so tunataka majibu ya uhakika.
Watanzania tumechoka sana mwekeo wa nchi yetu.
Hakuna wa kututetea kikamilifu ndani ya Chama Tawala . . . .
Upinzani nao bado unasua sua na hauna mwelekeo wa kushika hatamu . . . .
Sasa baadhi ya wana JF na watanzania wengine makini ambo wako nje ya JF kwa hiari yetu tumeamua tunapenda kuona Nchi yetu ikiwa na mabadiliko na maendeleo ya kweli.
Tunapenda kuona mambo ya kimsingi ya kuleta mabadiliko ya kweli yafanyike na ikiwezekana CHADEMA ishike madaraka mwaka 2010 au 2015. Na wengi tuko tayari kuwaunga mkono na kujiandaa kufanya kweli endapo tu mtakidhi matakwa ya watanzania
Kujiridhisha mwanaweza kupitia thread hii kwanza: https://www.jamiiforums.com/complai...jamii-forums-kuwa-chama-tishio-cha-siasa.html
Kwa kuanzia tunaomba mtoe comment katika hili:
Kazi kwenu Wana-CHADEMA
Tunaanza na CHADEMA na tutawapima kutokana na maelezo yenu. Then tutaviita pia vyama vingine katika thread tofauti. So this is KITI MOTO!
Tunajua Mh. Mbowe, Dr. Slaa, Zitto, Mwanyika, nk wote mko humu, so tunataka majibu ya uhakika.
Watanzania tumechoka sana mwekeo wa nchi yetu.
Hakuna wa kututetea kikamilifu ndani ya Chama Tawala . . . .
Upinzani nao bado unasua sua na hauna mwelekeo wa kushika hatamu . . . .
Sasa baadhi ya wana JF na watanzania wengine makini ambo wako nje ya JF kwa hiari yetu tumeamua tunapenda kuona Nchi yetu ikiwa na mabadiliko na maendeleo ya kweli.
Tunapenda kuona mambo ya kimsingi ya kuleta mabadiliko ya kweli yafanyike na ikiwezekana CHADEMA ishike madaraka mwaka 2010 au 2015. Na wengi tuko tayari kuwaunga mkono na kujiandaa kufanya kweli endapo tu mtakidhi matakwa ya watanzania
Kujiridhisha mwanaweza kupitia thread hii kwanza: https://www.jamiiforums.com/complai...jamii-forums-kuwa-chama-tishio-cha-siasa.html
Kwa kuanzia tunaomba mtoe comment katika hili:
Sikonge:
Kumbe tuko kuipa mkono CHADEMA? Nilikuwa sijui. Na hata kama ni Chadema, basi huyo Mbowe basi aje hapa na kama kweli atakubali kupokea watu wengi kutoka JF, basi lazima vitu kadhaa viingizwe humo ndani. Kama amekuwa anaibeba Chadema kwa nguvu basi lazima aridhike kuwa sasa atakuwa na upinzani.
Kama nilivyosema mwanzo, itabidi hata wale ambao hawapo Dar kama mimi hapa, tuweze shiriki mkutano ONLINE. Tutachangia ila kwa makubalioano tuwe na SAY yetu. Kwa mtindo huo basi, Chadema kiwe chama cha kwanza kuanza kutumia INTERNET katika maswala yake mengi na hii inwe NYONGEZA katika maneno ya Nyerere kuwa "Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne, Watu, Ardhi, Siasa safi, Uongozi bora na sisi tuseme TECHNOLOGY".
Chadema, njooni hapa, nendeni Tanzanet, nendeni kwa Michuzi nk ili muone jinsi Mtandao unavyovuta watu. Someni kutoka kwao na hapo anzisheni mtandao wenu. Ikibidi msaada wa kufungua kitu kama hiki basi nafikiri wapo watu wengi sana watakaokuwa tayari kuwachangua kwa mawazo, ufundi, fedha na vifaa kama mtaonyesha moyo wa kupokea hivyo vitu kutoka kwao na kuvitumia kwa faida ya Watanzania.
Ila cha muhimu ni "nini kitatokea kwa viongozi wataokiuka masharti na kuiba au kutumia vibaya hivyo vitu?" Hapa ndipo patakapotofautisha chama hiki na CCM.
Kazi kwenu Wana-CHADEMA