Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Hahahaaaaaaaa,
Kumbe mnajua haya. Kesho ijumaa niko ofisi moja na nitakuwa muda wa ziada kazini na mshangazi fulani, hivyo mkeo akichelewa usimuulize alikuwa wapi.
 
Wakuu habari za nyinyi jamani,

Natumaini mu wazima kabisa,

Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.

Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana lawafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.

Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.

Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mbosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.

Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.

Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.
Aseee!
napata hasira sana.
 
Ni kushuka kwa maadili tu kwa wanadamu,ndiyo maana kuna wanaume hawapendi kuona wake zao wanaajiliwa,anakomaa mwenyewe.wanawake nao wakiwa na waume waajiliwa huishi kwa hofu kubwa na kudhani waume zao wana wanawake wengine mitaani na ofisini pia.na jibu ni NDIYO kwa sababu imekua kama ndo tabia,watu hawana hofu,hawajali,hawana upendo wa kweli kwa wenza wao wa nyumbani,na zaidi ya yote huendeshwa na tamaa iliyoota mizizi na imekomaa.dunia inayumba juu ya hilo,kuiweka sawa sijui kama itawezekana tena.
 
Back
Top Bottom