One night stand ...

One night stand ...

Dah!!! Hivi, unalalaje na mtu hata humjui? (wakati mwingine hata majina hawatambulishani)..
..Kweli kuna watu wana mioyo minene...!

ndio maaana ikaitwa 'one night stand'......
 
Ni ipi tofauti ya "One Night Stand" na "Kumchukua Changudoa pale Q-Bar"?
 
hujawahi wewe Chauro...?

Sijawahi nasidhani kama naweza sbabu bado kutokea mm nikikutazama tu nikaanza kuwaza unaweza kuwa hupigi mswaki vizuri kama ni mtongozaji ntakutazama najichekea kumbe na yangu moyoni kwanza kuna ambao tunanuka majasho kama punda .....hii tuwaachie wenyewe wazoefu.
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi nasidhani kama naweza sbabu bado kutokea mm nikikutazama tu nikaanza kuwaza unaweza kuwa hupigi mswaki vizuri kama ni mtongozaji ntakutazama najichekea kumbe na yangu moyoni kwanza kuna ambao tunanuka majasho kama punda .....hii tuwaachie wenyewe wazoefu.
sawa....!
 
Mkuu nahisi unapaswa kujishangaa then uamini kuwa kitu hiki kinawezekana. Ebu tafakari hii, ikiwa amekuja ofisini kwako tu tena kwa ajili ya huduma kwa muda mfupi tu umeweza kufika kupiga stori mpaka kusimuliana mambo ya ndani kiasi hicho je kama mngekuwa mnasafiri dar -msoma mkiwa seat moja na mkalazimika kulala Mwanza ili kesho mmalizie safari nini kingetokea?. Ila mkuu watoa huduma kama nyie ndo mnapangisha watu foleni kumbe mnapiga story ofisini za ovyo kabisa.
 
mhh,,,me am interested na iyo ofisi yako unatoa huduma gan maana kwa maelezo mtakua mmetumia mda mref kujadili mambo ambayo hata hivyo inaonekana sio sehem ya huduma!,,,wat a bullshit!
 
by the way me napenda one night stand coz nakua sina hisia na bibie uyo kwa iyo 1st round is almost 45 min,,,nakua nagawa show a maana....
 
Back
Top Bottom