One night stand ...

One night stand ...

I had several one night stands ila sikubahatika kubanjuka hata mara moja katika zote hizo, ilikuwa one night stand ya kuongea kuhug na kuishia kukiss bass!! Ila ni raha sana maana mie huwa nabaki na kumbukumbu kichwani.
Ila kuna ile mtu milishawahi kubanjuana zamani na mkapotezana miaka mingi halafu mnakuja kukutana mazingira ya aidha safari ya kikazi au semina au kwenye harusi inayofanyika mkoa tofauti na unaoishi au msiba mmeenda kuzika mkoa tofauti na unaoishi na huko mnakuwa mmende wenyewe bila wenza...... inakuwa ngumu sana kukwepa mrejesho wa matukio ya kale. Ila ndo sijajua kama hiyo nayo ni one night stand au ni flash back........
 
I had several one night stands ila sikubahatika kubanjuka hata mara moja katika zote hizo, ilikuwa one night stand ya kuongea kuhug na kuishia kukiss bass!! Ila ni raha sana maana mie huwa nabaki na kumbukumbu kichwani.
Ila kuna ile mtu milishawahi kubanjuana zamani na mkapotezana miaka mingi halafu mnakuja kukutana mazingira ya aidha safari ya kikazi au semina au kwenye harusi inayofanyika mkoa tofauti na unaoishi au msiba mmeenda kuzika mkoa tofauti na unaoishi na huko mnakuwa mmende wenyewe bila wenza...... inakuwa ngumu sana kukwepa mrejesho wa matukio ya kale. Ila ndo sijajua kama hiyo nayo ni one night stand au ni flash back........

hiyo wanaita kupasha moto kiporo
 
Unachanganya miguu kama feni te te te....

umenichekesha....eti umepigwa shoti....

Mtu wa hivyo unatakiwa usimwangalie hata usoni...nini kuongea naye..shouger maana naye anaweza kuwa kazoea kupiga watu shoti anakusuburi aone imekupata amalizie mambo yake...smooth operators ni wa kuwakimbia kama ukoma....


hebu take hiyo risk kwangu, tuone itakuwaje....
 
Ushawahi kumpenda mtu mpaka ukawa unamkimbia badala ya kumkimbilia...? unakuwa na wasiwasi labda anakusoma mawazo yako...

ilishanitokea nikiwa teenager...nilimpenda rafiki best wa kaka yangu...ila alikuwa anapendwa na wengi (nadhani pia ni kwa kuwa alikuwa handsome afu kwao wako fresh sana; ila mimi sikupenda pesa yao...)

Basi kila akija home mie najificha...thank God hiyo ilinisaidia hakuwahi kunipitia...sasa hivi amekuwa lofa tu maana kichwani hakuwa na kitu...na mali za wazazi si za kutegemea...na kwa sasa u handsome hauonekani tena...
 
Ushawahi kumpenda mtu mpaka ukawa unamkimbia badala ya kumkimbilia...? unakuwa na wasiwasi labda anakusoma mawazo yako...

ilishanitokea nikiwa teenager...nilimpenda rafiki best wa kaka yangu...ila alikuwa anapendwa na wengi (nadhani pia ni kwa kuwa alikuwa handsome afu kwao wako fresh sana; ila mimi sikupenda pesa yao...)

Basi kila akija home mie najificha...thank God hiyo ilinisaidia hakuwahi kunipitia...sasa hivi amekuwa lofa tu maana kichwani hakuwa na kitu...na mali za wazazi si za kutegemea...na kwa sasa u handsome hauonekani tena...

laiti kama angekujua then lol
 
Nadhani alikuwa na ethics...isingekuwa raisi kwake kunipenda mimi mdogo wa rafiki yake...na kaka zangu walikuwa wanoko urafiki ungeisha for sure...

Tatizo lilikuwa mimi na ilifika kipindi nikawa sijiamini ...niliogopa nikimuangalia atajua namuita...


laiti kama angekujua then lol
 
Nadhani alikuwa na ethics...isingekuwa raisi kwake kunipenda mimi mdogo wa rafiki yake...na kaka zangu walikuwa wanoko urafiki ungeisha for sure...

Tatizo lilikuwa mimi na ilifika kipindi nikawa sijiamini ...niliogopa nikimuangalia atajua namuita...

I am sure once in a while unakutana nayo ukubwani
only una handle better......
kuna research ilisema mzunguko wa yai la mwanamke unaweza mpa mitihani
kuna atraction zinakuja mwanamke yai likiwa limesimama tayari kwa kupokea mbegu...
wengi hawajui....
 
Back
Top Bottom