One night stand ...

One night stand ...

Eiyer alikuwa anategwa...huyo atakuwa married but available...one night stand ni accident ambayo ni vigumu kukuta mwanamke anaisimulia proudly unless amepinda...tofauti na wanaume ambao they can 'kiss and tell'...

Kwa anayekiri humu JF ntamuelewa kwani amejificha nyuma ya fake ID...

Sasa huyu anayekutana na kaka yangu Eiyer afu from nowhere anaanza kusimulia alivyo weak...anataka nini kama si kutongozwa...:angry:

Afu kwani one night stand definition yake lazima iwe na stranger? sidhani inaweza kuwa na mtu unayemjua ila mmekutana mazingira hatarishi mkajikuta mnafanya vitu ambavyo msingefanya...

Afu kibaya zaidi kwa mwanaume hiyo anakuwa alishasahau...wakati bidada anaendelea kutoa ushuhuda...nachomaanisha ni kuwa hii inaishia kuumiza wanawake kwa kuwa wana hisia wakati wanaume sex kwao ni mchezo kama soka...

na mi nilikuwa najiuliza huyo bidada ni mropokaji au! kitu cha ONS unabwabwaja tu mbele za watu na umeolewa!!!
huyo kweli alikuwa anataka dudu ya baba paroko.
 
mie nliwai kutana na mdada katumwa mboga sokoni hanijui wala cmjui lakn zari tu njiani stori stori mpk tukakubaliana twende gest tukapige show ya kibabe. vipi hiyo nayo ni ONE NIGHT STAND au

huhuhuuuu yako ilikuwa mchana so ni one noon stand
 
hahahaha!!! ingekuwa asubuhi? one morning stand???!! lol.

IMG-20140722-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom