Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,416
Dah.
Angalia nchi ambazo zinaizunguka Tanzania hapo,zina rangi nyekundu fulani hivi ambayo inawakilisha kiwango cha juu cha maambukizi halafu Tanzania inasoma zero wakati Corona ni ugonjwa ambao ni Pandemic!Dah.
Umenikumbusha kuna mgonjwa wangu alikuwa anapumulia mashine.
Ngoja nitafute habari za maendeleo.
Halafu tunaambiwa hakuna wagonjwa wapya.
Korona inajua mipaka ya nchi...Angalia nchi ambazo zinaizunguka Tanzania hapo,zina rangi nyekundu fulani hivi ambayo inawakilisha kiwango cha juu cha maambukizi halafu Tanzania inasoma zero wakati Corona ni ugonjwa ambao ni Pandemic!
🤣🤣🤣🙌Korona inajua mipaka ya nchi...
Tumejitoa akili kabisa.Angalia nchi ambazo zinaizunguka Tanzania hapo,zina rangi nyekundu fulani hivi ambayo inawakilisha kiwango cha juu cha maambukizi halafu Tanzania inasoma zero wakati Corona ni ugonjwa ambao ni Pandemic!
Na misaada ya Korona wanalala nayo 'mbere'.
Tumejitoa akili kabisa.
Sijui walikuwa wanataka tuendelee kuugua Sana.Sio jambo la kubeza ni swala la kumshukuru Mungu
Nihakikishie kuwa coronavirus ipo nchini.Corona ipo nchini!Kama haipo kwanini hawapimi?
Nihakikishie kuwa coronavirus ipo nchini.
Maelfu ya wanafunz wameenda shule pamoja na vyuoni na wamerudi wakati wa likizo na wengine bado wapo shuleni lkn hakuna hata taarifa ya kifo kutokana na coronavirus mpaka sasa, ww hapo mtaani kwenu au unapofanyia kazi au katika mizunguko yako umeona wapi kuna dalili ya coronavirus.?
Okay, tuchukulie n kweli corona ipo Tz. Swali langu kwako n wapi umeona vifo au hata umati mkubwa wa watu ukiwa na dalili za coronavirus.?Hivi ni mkuu gani wa shule au daktari atasema amepata mgonjwa wa korona ?