Marekani wamegundua 2.3 billion tons madini aina ya rare earths

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.

Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.

Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
 
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.

Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.

Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Mbona kama taarifa umeitoa Kinondoni mwanamboka imekaa kiswahiliswahili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wanajua propaganda na kutumia mass media kwa faida yao.
Hakuna jambo hapo.
Death to America
Screenshot_20240212-144325_Google.jpg


Hivi ni kwanini wanapochoma bendera huwa hawachomi zile U$? Matokeo yake huchoma za kuchongesha?
 
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.

Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.

Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Hakunaga Madini aina ya Rare Earth. Read again mkuu
 
Jimbo LA Wyoming nchini Marekani wamegundua madini ya aina ya rare earths. Haya madini ni ya kimkakati sana katika tasnia ya sayansi na technology.

Ugunduzi wa 2.3 billion tons unaifanya Marekani kuwa na reserve kubwa sana ya aina hii ya madini. Rare earth ni madini yanayotumika kwenye utengenezaji wa vifaa vya technology kama hybrid cars, computer, simu, space craft, ndege nk. Awali China ndiyo alikuwa mzalishaji mkubwa sana wa rare earth.

Mwaka Jana China alipiga marufuku uuzaji nje wa madini ya rare earth. Rare earth ni madini yenye element 17.
Baada ya huu ugunduzi, china amebaki mdomo wazi. Wingi wa haya madini ndani ya Marekani utachochea maendeleo makubwa sana ya technology.
Umeniwahi kuiweka hapa,nilikuwa nasubiria wale wanaosemaga Tzn ni Tajiri sana wa Rasilimali niwapige za uso.

Tzn iendelee na nyodo harafu tuone nani atatumia vimadini vyenyewe vya kuokoteza 😁😁
Screenshot_20240211-073903.jpg
 
Back
Top Bottom