Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 440
- 116
Jeshi la polisi wasingeweza kutokea kutokana na mada yenyewe ilivyo ingawa naamini saa hizi watakuwa wanafuatilia kwa makini sana. Wanaelewa kwa sasa wao watakuwa ni watuhumiwa wakubwa kwa yanayotokea sasa.
Nashauri jeshi la polisi lijisafishe kwa kutekeleza jukumu lake la kikatiba la Kusimamia Ulinzi wa wananchi na mali zao na sio wao kuwa mstari wa mbele kudhuru wananchi.
Nashauri jeshi la polisi lijisafishe kwa kutekeleza jukumu lake la kikatiba la Kusimamia Ulinzi wa wananchi na mali zao na sio wao kuwa mstari wa mbele kudhuru wananchi.