Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Sheria inasema atakayekiuka sheria ya polisi na kufanya mkutano usio na kibali wanatakiwa kufikishwa mahakamani na wakipatikana na kosa wanapigwa faini ya mpaka 50,000.
Je ni wangapi waliofikishwa mahakamani na polisi?
Ni wangapi walipatikana na hatia na kufungwa au kupigwa hiyo faini?
Na kama hawajafikisha mtu mahakamani na wameua kwa visingizio vya kufanya mikutano isiyo na vibali je hawaoni wao ni wa kwanza kutokufuata sheria?
Je ni wangapi waliofikishwa mahakamani na polisi?
Ni wangapi walipatikana na hatia na kufungwa au kupigwa hiyo faini?
Na kama hawajafikisha mtu mahakamani na wameua kwa visingizio vya kufanya mikutano isiyo na vibali je hawaoni wao ni wa kwanza kutokufuata sheria?