Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Salaam wakuu
Katika muendelezo wa mjadala juu ya Amani ya Tanzania, Leo tupo katika sehemu ya Tatu na lengo lilikuwa kuzungumza na Viongozi wa Dini na Jeshi la Polisi.
Viongozi wa Jeshi la Polisi wametoa udhuru na tutajaribu tena JUMAPILI ijayo.
Dar wapo:
Mzee Salum Jazaa - mstaafu JWTZ
Mzee Juma Farijala - Mwananchi Mkazi wa Dar
Mwanza wapo:
Sheikh Hassan Kabeke - m/Kiti JUKUSUTA
Mch.Garlod Deuli - akimwakilisha M/Kiti umoja wa Makanisa Mkoa wa Mza
Karibuni kwa mjadala!
Kwa kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-tv-ipi-misingi-ya-amani-sehemu-ya-pili.html
&
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ipi-misingi-ya-kuendeleza-amani-tanzania.html
Katika muendelezo wa mjadala juu ya Amani ya Tanzania, Leo tupo katika sehemu ya Tatu na lengo lilikuwa kuzungumza na Viongozi wa Dini na Jeshi la Polisi.
Viongozi wa Jeshi la Polisi wametoa udhuru na tutajaribu tena JUMAPILI ijayo.
Dar wapo:
Mzee Salum Jazaa - mstaafu JWTZ
Mzee Juma Farijala - Mwananchi Mkazi wa Dar
Mwanza wapo:
Sheikh Hassan Kabeke - m/Kiti JUKUSUTA
Mch.Garlod Deuli - akimwakilisha M/Kiti umoja wa Makanisa Mkoa wa Mza
Karibuni kwa mjadala!
Kwa kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...r-tv-ipi-misingi-ya-amani-sehemu-ya-pili.html
&
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ipi-misingi-ya-kuendeleza-amani-tanzania.html