On STAR TV: Ipi misingi ya Amani? Sehemu ya Pili

peace is not the absence of conflicts, but it is the ability to solve conflicts in peaceful way.
 

aisee hongera kwa kuwa kada mwaminifu wa CCM, lazima uwaze hivyo kwa akili za uccm na ushabiki. Pole sana ila chamsingi Lissu kakujibu.
 

Na hao hao ndio wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama huko mikoani/wilayani!
 
Nakubaliana na Mnyika Tatizo ni Raisi Dhaifu... huyu ndie asababishae yote... Nape hivi haya yote yanatokea sababu ya kuacha kwa makusudi mali za nchizinachezewa na kuchukuliwa wapeni wananchi maisha bora hakuna atakaye fungua mdomo na kulalamika haki itolewe kwa wakati
 
Nadhani kuanzia kwenye Mafunzo ya Kijeshi kun dosari kubwa sana...bado jeshi letu (huwa nasita sana kuliita jeshi letu) maana hasa ni jeshi lao...wanafundwa kwa mbinu za kizamani za kikoloni,,,yaani wao wanaamini katika ukoloni ni mabavu na akili kidogo sana...
 
Nataka kumwambia Nape kua amani aijengwi kwa misingi ya uwoga.serekali iache kututisha huku wakijua ndio wana ijenga amani,amani inajengwa kwa msingi wakua tunaitaji amini na sio vinginevo.
 
Kauli hii ya tunaenda kwenye vita ya tundu lissu ina maana gani..?
Ni kuwa wamejiandaa kwa hili..? Wamejiandaa na kupima madhara yatakayotokana na hilo...!

Watu hawa ni lazima kuwa nao makini sana...!

mmetumbua mimacho, mmetega masikio kuvizia maneno magumu kwenu na kwa wasio na uwezo wa kupambanua kwa haraka ili mfungulie maporomoko ya propaganda, unataka kutuambia kama si vita ni nini kiliwakilisha mazingira ya kuuwawa kwa mwangosi kule iringa, limetumika BOMU kuua, bomu ni silaha ya kivita, ene wei unaonekana akili yako imebakwa, unashauriwa usibadili nguo wala kuoga ili ushahidi wa kubakwa uufikishe polisi.
 
aisee hongera kwa kuwa kada mwaminifu wa CCM, lazima uwaze hivyo kwa akili za uccm na ushabiki. Pole sana ila chamsingi Lissu kakujibu.

Huyu "the horse" amani umeshaambiwa hatuna....tuna utulivu tu... mbona huelewi?????????????
na kama chedma wanataka madaraka tu, mbona nyinyi mpo tangu zama za kale lakini hamtaki kutoka wakati hamjafanya lolote zaidi ya kutuibia? absolutely nothing for ccm,,,,,,
 

kwani unamawazo tofauti na hayo?
 
Kauli hii ya tunaenda kwenye vita ya tundu lissu ina maana gani..?
Ni kuwa wamejiandaa kwa hili..? Wamejiandaa na kupima madhara yatakayotokana na hilo...!

Watu hawa ni lazima kuwa nao makini sana...!
Hiyo kauli ni Onyo kwani mwanzo wa vita huanzia kwa mambo yanayotokana na hali tunayoelekea unamchezea Lissu wewe jamaa kichwa kaona mbali...Civil war ni noma kuna nchi zilianza hivi polisi waliuwawa hadi majumbani mwao vita ya ndani ni noma... inafikia hadi wakuu wa dini ukimsogelea anakutolea silaha na ukizidi anakuua... tuombe amnani vita ni sooo polisi waache ujinga wao then wanaficha siri ya muuaji kwa kiini macho hakuna aliyeshtakiwa pale
 

kweli raisi ni dhaifu, ccm ni dhaifu, lakini wako sharp kuhamishia mali za wananchi nje ya nchi
 

acha ukada'
 
Polisi tangu awali walialikwa lkn hawakutokea; bilashaka walistuka, wangeumbuliwa..

Pengine wamejishitakia na kesi ipo mahakamani so wameona wasiingilie mihimili ya Dora mwenzao majaji wa T. Lissu...

Asante sana T.Lissu kwa kusaidia mahakama zetu zije kuwa na watu vichwa na sio vlaza kama wa sasa hivi watu wakapige shule sio ubabaishaji kwenye mambo yanayoweza kuhatarisha Amani... hujunu zilikuwa za ajabu ajabu na zinachukua muda mrefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…